Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Methali 27:27 - Swahili Revised Union Version

Tena yatakuwapo maziwa ya mbuzi, Ya kukutosha kwa chakula chako, Na chakula cha watu wa nyumbani mwako, Na posho la vijakazi vyako.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

watakupa maziwa ya kukutosha wewe na jamaa yako, na kwa ajili ya watumishi wako wa kike.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

watakupa maziwa ya kukutosha wewe na jamaa yako, na kwa ajili ya watumishi wako wa kike.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

watakupa maziwa ya kukutosha wewe na jamaa yako, na kwa ajili ya watumishi wako wa kike.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Utakuwa na maziwa mengi ya mbuzi kukulisha wewe na jamaa yako, na kuwalisha wajakazi wako.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Utakuwa na maziwa mengi ya mbuzi kukulisha wewe na jamaa yako, na kuwalisha watumishi wako wa kike.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Tena yatakuwapo maziwa ya mbuzi, Ya kukutosha kwa chakula chako, Na chakula cha watu wa nyumbani mwako, Na posho la vijakazi vyako.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Methali 27:27
5 Marejeleo ya Msalaba  

Wana-kondoo hufaa kwa mavazi yako; Na mbuzi ni thamani ya shamba.


Waovu hukimbia wasipofuatiwa na mtu; Bali wenye haki ni wajasiri kama simba.


Lakini hujiwekea akiba ya chakula wakati wa jua; Hukusanya chakula chake wakati wa mavuno.


Bali utafuteni kwanza ufalme wake, na haki yake; na hayo yote mtazidishiwa.