Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Methali 27:26 - Swahili Revised Union Version

26 Wana-kondoo hufaa kwa mavazi yako; Na mbuzi ni thamani ya shamba.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

26 Kondoo watakupatia sufu kwa mavazi, mbuzi nao utauza na kujinunulia mashamba;

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

26 Kondoo watakupatia sufu kwa mavazi, mbuzi nao utauza na kujinunulia mashamba;

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

26 Kondoo watakupatia sufu kwa mavazi, mbuzi nao utauza na kujinunulia mashamba;

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

26 wana-kondoo watakupatia mavazi na mbuzi thamani ya shamba.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

26 wana-kondoo watakupatia mavazi na mbuzi thamani ya shamba.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

26 Wana-kondoo hufaa kwa mavazi yako; Na mbuzi ni thamani ya shamba.

Tazama sura Nakili




Methali 27:26
4 Marejeleo ya Msalaba  

Ikiwa viuno vyake havikunibariki, Au kama hakupata moto kwa manyoya ya kondoo wangu;


Manyasi hukatwa, na majani mabichi huchipua, Na mboga ya mlimani hukusanywa.


Tena yatakuwapo maziwa ya mbuzi, Ya kukutosha kwa chakula chako, Na chakula cha watu wa nyumbani mwako, Na posho la vijakazi vyako.


Arabuni, na wakuu wote wa Kedari, ndio waliokuwa wafanya biashara wa mkono wako; kwa wana-kondoo, na kondoo dume, na mbuzi; kwa hao walifanya biashara nawe.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo