Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Methali 27:12 - Swahili Revised Union Version

Mwenye busara huyaona mabaya na kujificha; Bali wajinga huendelea mbele wakaumia.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Mwenye busara huona hatari akajificha, lakini mjinga hujitokeza mbele akaumia.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Mwenye busara huona hatari akajificha, lakini mjinga hujitokeza mbele akaumia.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Mwenye busara huona hatari akajificha, lakini mjinga hujitokeza mbele akaumia.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Mtu mwenye busara huona hatari na kujificha, bali mjinga huendelea mbele, naye hupata madhara.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Mtu mwenye busara huona hatari na kujificha, bali mjinga huendelea mbele nayo ikamtesa.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Mwenye busara huyaona mabaya na kujificha; Bali wajinga huendelea mbele wakaumia.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Methali 27:12
12 Marejeleo ya Msalaba  

Jina la BWANA ni ngome imara; Mwenye haki huikimbilia, akawa salama.


Mwenye busara huyaona mabaya na kujificha; Bali wajinga huendelea mbele wakaumia.


Mwanangu, uwe na hekima na kunifurahisha moyo wangu; Ili nipate kumjibu anilaumuye.


Twaa nguo yake amdhaminiye mgeni; Mtoza rehani aliye mdhamini wa malaya.


Na alipoona wengi miongoni mwa Mafarisayo na Masadukayo wakiujia ubatizo wake, aliwaambia, Enyi wazawa wa nyoka, ni nani aliyewaonya ninyi kuikimbia hasira itakayokuja?


Kwa imani Nuhu akiisha kuonywa na Mungu katika habari za mambo yasiyoonekana bado, kwa jinsi alivyomcha Mungu, aliunda safina, apate kuiokoa nyumba yake. Na hivyo akauhukumu makosa ulimwengu, akawa mrithi wa haki ipatikanayo kwa imani.


ili kwa vitu viwili visivyoweza kubadilika, ambavyo katika hivyo Mungu hawezi kusema uongo, tupate faraja iliyo imara, sisi tuliokimbilia kuyashika matumaini yale yawekwayo mbele yetu;


Lakini mbingu za sasa na nchi zimewekwa akiba kwa moto, kwa neno lilo hilo, zikilindwa hata siku ya hukumu, na ya kuangamia kwao wanadamu wasiomcha Mungu.