Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Methali 26:26 - Swahili Revised Union Version

Ingawa chuki hufunikwa na hila; Uovu wake utadhihirika mbele ya kusanyiko.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Huenda akaficha chuki yake, lakini nia zake mbaya zitajulikana kwa wote.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Huenda akaficha chuki yake, lakini nia zake mbaya zitajulikana kwa wote.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Huenda akaficha chuki yake, lakini nia zake mbaya zitajulikana kwa wote.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Nia yake ya kudhuru wengine inaweza kufichwa na udanganyifu, lakini uovu wake utafichuliwa kwenye kusanyiko.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Nia yake ya kudhuru wengine inaweza kufichwa na udanganyifu, lakini uovu wake utafichuliwa kwenye kusanyiko.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Ingawa chuki hufunikwa na hila; Uovu wake utadhihirika mbele ya kusanyiko.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Methali 26:26
9 Marejeleo ya Msalaba  

Kaini akamwambia Habili nduguye, [Twende uwandani]. Ikawa walipokuwapo uwandani, Kaini akamwinukia Habili nduguye, akamwua.


Aendaye kwa unyofu huenda salama; Bali apotoshaye njia zake atajulikana.


Vivyo hivyo ninyi nanyi, kwa nje mwaonekana na watu kuwa wenye haki, bali ndani mmejaa unafiki na maasi.


Kwa maana hakuna neno lililositirika ambalo halitafunuliwa; wala lililofichwa ambalo halitajulikana na kuwekwa wazi.


Kisha Sauli akamwambia Daudi, Tazama, binti yangu mkubwa, Merabu, huyu nitakupa wewe ili umwoe; ila na wewe uniwie hodari wa vita, na kuvipiga vita vya BWANA. Maana Sauli alisema moyoni mwake, Mkono wangu usiwe juu yake, bali mkono wa Wafilisti na uwe juu yake.


Naye Sauli akasema moyoni, Mimi nitamwoza huyu, awe mtego kwake, tena kwamba mkono wa Wafilisti uwe juu yake. Basi Sauli akamwambia Daudi mara ya pili, Leo utakuwa mkwe wangu.