Mwanzo 4:8 - Swahili Revised Union Version8 Kaini akamwambia Habili nduguye, [Twende uwandani]. Ikawa walipokuwapo uwandani, Kaini akamwinukia Habili nduguye, akamwua. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema8 Baadaye, Kaini akamwambia Abeli nduguye, “Twende nje shambani” Basi, walipokuwa shambani, Kaini akamvamia Abeli nduguye, akamuua. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND8 Baadaye, Kaini akamwambia Abeli nduguye, “Twende nje shambani” Basi, walipokuwa shambani, Kaini akamvamia Abeli nduguye, akamuua. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza8 Baadaye, Kaini akamwambia Abeli nduguye, “Twende nje shambani.” Basi, walipokuwa shambani, Kaini akamvamia Abeli nduguye, akamuua. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu8 Basi Kaini akamwambia ndugu yake Habili, “Twende shambani.” Walipokuwa shambani, Kaini akamshambulia Habili ndugu yake, akamuua. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu8 Basi Kaini akamwambia ndugu yake Habili, “Twende shambani.” Walipokuwa shambani, Kaini akamshambulia Habili ndugu yake, akamuua. Tazama suraBIBLIA KISWAHILI8 Kaini akamwambia Habili nduguye, [Twende uwandani]. Ikawa walipokuwapo uwandani, Kaini akamwinukia Habili nduguye, akamwua. Tazama sura |