Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Methali 26:25 - Swahili Revised Union Version

Anenapo maneno mazuri usimsadiki; Kwa maana ana machukizo saba moyoni mwake.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Akiongea vizuri usimwamini, moyoni mwake mna chuki chungu nzima.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Akiongea vizuri usimwamini, moyoni mwake mna chuki chungu nzima.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Akiongea vizuri usimwamini, moyoni mwake mna chuki chungu nzima.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Ingawa maneno yake huvutia, usimwamini, kwa maana machukizo saba hujaza moyo wake.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Ingawa maneno yake huvutia, usimwamini, kwa maana machukizo saba hujaza moyo wake.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Anenapo maneno mazuri usimsadiki; Kwa maana ana machukizo saba moyoni mwake.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Methali 26:25
11 Marejeleo ya Msalaba  

Sanbalati na Geshemu wakatuma wajumbe kwangu, wakasema, Njoo, tukutane huko vijijini katika nchi tambarare ya Ono. Lakini wakakusudia kunifanyia mabaya.


Husemezana yasiyofaa kila mtu na mwenziwe, Wenye midomo ya kujipendekeza; Husemezana kwa mioyo ya unafiki;


Usinikokote pamoja na wasio haki, Wala pamoja na watenda maovu. Wawaambiao jirani zao maneno ya amani, Lakini mioyoni mwao mna madhara.


Maana aonavyo nafsini mwake, ndivyo alivyo. Akuambia, Haya, kula, kunywa; Lakini moyo wake hauwi pamoja nawe.


Midomo ijipendekezayo pamoja na moyo mbaya Ni kama kigae kilichofunikizwa taka za fedha.


Kwa maana hata ndugu zako, na nyumba ya baba yako, wamekutenda mambo ya hila; naam, wamepiga kelele nyuma yako; usiwasadiki, wajapokuambia maneno mazuri.


Msimwamini rafiki, msimwekee kiongozi tumaini; ilinde milango ya midomo ya kinywa chako ili mkeo alalaye kifuani mwako asijue habari.


Wakati huo mtu akiwaambia, Tazama, Kristo yupo hapa, au yuko kule msisadiki.


Kisha Sauli akamwambia Daudi, Tazama, binti yangu mkubwa, Merabu, huyu nitakupa wewe ili umwoe; ila na wewe uniwie hodari wa vita, na kuvipiga vita vya BWANA. Maana Sauli alisema moyoni mwake, Mkono wangu usiwe juu yake, bali mkono wa Wafilisti na uwe juu yake.