Zaburi 12:2 - Swahili Revised Union Version2 Husemezana yasiyofaa kila mtu na mwenziwe, Wenye midomo ya kujipendekeza; Husemezana kwa mioyo ya unafiki; Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema2 Kila mmoja humdanganya mwenzake, husema kwa kudanganya na kwa moyo wa unafiki. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND2 Kila mmoja humdanganya mwenzake, husema kwa kudanganya na kwa moyo wa unafiki. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza2 Kila mmoja humdanganya mwenzake, husema kwa kudanganya na kwa moyo wa unafiki. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu2 Kila mmoja humwambia jirani yake uongo; midomo yao ya hila huzungumza kwa udanganyifu. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu2 Kila mmoja humwambia jirani yake uongo; midomo yao ya hila huzungumza kwa udanganyifu. Tazama suraBIBLIA KISWAHILI2 Husemezana yasiyofaa kila mtu na mwenziwe, Wenye midomo ya kujipendekeza; Husemezana kwa mioyo ya unafiki; Tazama sura |