Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Methali 24:5 - Swahili Revised Union Version

Mtu mwenye hekima ana nguvu; Naam, mtu wa maarifa huongeza uwezo;

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Kuwa na hekima ni bora kuliko kuwa na nguvu, naam, maarifa ni bora kuliko nguvu.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Kuwa na hekima ni bora kuliko kuwa na nguvu, naam, maarifa ni bora kuliko nguvu.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Kuwa na hekima ni bora kuliko kuwa na nguvu, naam, maarifa ni bora kuliko nguvu.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Mtu mwenye hekima ana uwezo mkubwa, naye mtu mwenye maarifa huongeza nguvu,

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Mtu mwenye hekima ana uwezo mkubwa, naye mtu mwenye maarifa huongeza nguvu,

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Mtu mwenye hekima ana nguvu; Naam, mtu wa maarifa huongeza uwezo;

Tazama sura
Tafsiri zingine



Methali 24:5
10 Marejeleo ya Msalaba  

Huendelea toka nguvu hata nguvu, Huonekana Sayuni kila mmoja mbele za Mungu.


Njia ya BWANA ni kimbilio lake mtu mkamilifu; Bali ni uharibifu kwao watendao maovu.


Mwenye hekima huupandia mji wao wenye nguvu; Na kuziangusha nguvu za tumaini lao.


Maana kwa mashauri ya akili utafanya vita; Na kwa wingi wa washauri huja wokovu.


Ushauri ni wangu, na maarifa yaliyo sahihi; Mimi ni ufahamu, mimi nina nguvu.


Hekima ni nguvu zake mwenye hekima, Zaidi ya wakuu kumi waliomo mjini.


Nasema, mashauri yako, na nguvu zako kwa vita, ni maneno yasiyo na maana; basi, unamtumaini nani hata ukaniasi mimi?


bali wao wamngojeao BWANA watapata nguvu mpya; watapanda juu kwa mbawa kama tai; watakimbia, wala hawatachoka; watakwenda kwa miguu, wala hawatazimia.


mkiwezeshwa kwa uwezo wote, kwa kadiri ya nguvu ya utukufu wake, mpate kuwa na subira ya kila namna na uvumilivu pamoja na furaha;