Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Methali 24:4 - Swahili Revised Union Version

Na kwa maarifa vyumba vyake hujazwa Vitu vyote vya thamani na vya kupendeza.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Kwa maarifa vyumba vyake hujazwa vitu vya thamani na vya kupendeza.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Kwa maarifa vyumba vyake hujazwa vitu vya thamani na vya kupendeza.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Kwa maarifa vyumba vyake hujazwa vitu vya thamani na vya kupendeza.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

kwa maarifa vyumba vyake hujazwa vitu vya thamani na vya kupendeza.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

kwa njia ya maarifa vyumba vyake hujazwa vitu vya thamani na vya kupendeza.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Na kwa maarifa vyumba vyake hujazwa Vitu vyote vya thamani na vya kupendeza.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Methali 24:4
16 Marejeleo ya Msalaba  

Kwa kuwa wana wa Israeli na wana wa Lawi wataleta sadaka ya kuinuliwa ya nafaka, na mvinyo, na mafuta, vyumbani, kwa kuwa ndimo vilimo vyombo vya patakatifu, na makuhani watumikao, na mabawabu, na waimbaji; wala sisi hatutaiacha nyumba ya Mungu wetu.


Hukata mifereji kati ya majabali; Na jicho lake huona kila kito cha thamani.


Katika nyumba ya mwenye haki mna akiba nyingi; Bali mapato ya mtu mbaya huwa taabu tu.


Dhahabu iko, na marijani tele; Lakini midomo ya maarifa ni kito cha thamani.


Kuna hazina ya thamani na mafuta katika maskani ya mwenye hekima; Bali mwanadamu aliye mpumbavu huyameza.


Mtu mwenye hekima ana nguvu; Naam, mtu wa maarifa huongeza uwezo;


Utajiri na heshima ziko kwangu, Naam, utajiri udumuo, na haki pia.


Niwarithishe mali wale wanipendao, Tena nipate kuzijaza hazina zao.


Akawaambia, Kwa sababu hiyo, kila mwandishi mwenye elimu ya ufalme wa mbinguni amefanana na mtu mwenye nyumba atoaye katika hazina yake vitu vipya na vya kale.