Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Methali 24:1 - Swahili Revised Union Version

Usiwawaonee wivu watu waovu, Wala usitamani kuwa pamoja nao;

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Usiwaonee wivu watu waovu, wala usitamani kuwa pamoja nao,

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Usiwaonee wivu watu waovu, wala usitamani kuwa pamoja nao,

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Usiwaonee wivu watu waovu, wala usitamani kuwa pamoja nao,

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Usiwaonee wivu watu waovu, usitamani ushirika nao;

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Usiwaonee wivu watu waovu, usitamani ushirika nao;

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Usiwaonee wivu watu waovu, Wala usitamani kuwa pamoja nao;

Tazama sura
Tafsiri zingine



Methali 24:1
16 Marejeleo ya Msalaba  

Heri mtu yule asiyekwenda Katika shauri la wasio haki; Wala hakusimama katika njia ya wenye dhambi; Wala hakuketi barazani pa wenye mizaha.


Usiiondoe nafsi yangu pamoja na wakosaji, Wala uhai wangu pamoja na wauaji.


Usihangaike kwa sababu ya watenda mabaya, Usiwahusudu wafanyao ubatili.


Utulie mbele za BWANA, Nawe umngojee kwa subira; Usihangaike juu ya afanikiwaye katika njia yake, Wala mtu apangaye maovu.


Maana niliwaonea wivu wenye kujivuna, Nilipoiona hali ya amani ya wasio haki.


Nenda pamoja na wenye hekima, nawe utakuwa na hekima; Bali rafiki wa wapumbavu ataumia.


Moyo wako usiwahusudu wenye dhambi; Bali mche BWANA mchana kutwa;


Usikasirike kwa sababu ya watenda mabaya; Wala usiwahusudu wabaya;


Usimhusudu mtu mwenye ujeuri, Wala usiichague mojawapo ya njia zake.


Usiingie katika njia ya waovu, Wala usitembee katika njia ya wabaya.


Jiepushe nayo, usipite karibu nayo, Igeukie mbali, ukaende zako.