Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Methali 23:24 - Swahili Revised Union Version

Baba yake mwenye haki atashangilia; Naye amzaaye mtoto mwenye hekima atamfurahia.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Baba wa mtoto mwadilifu atajaa furaha; anayemzaa mtoto mwenye hekima atamfurahia.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Baba wa mtoto mwadilifu atajaa furaha; anayemzaa mtoto mwenye hekima atamfurahia.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Baba wa mtoto mwadilifu atajaa furaha; anayemzaa mtoto mwenye hekima atamfurahia.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Baba wa mwenye haki ana furaha kubwa, naye aliye na mwana mwenye hekima humfurahia.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Baba wa mwenye haki ana furaha kubwa, naye aliye na mwana mwenye hekima humfurahia.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Baba yake mwenye haki atashangilia; Naye amzaaye mtoto mwenye hekima atamfurahia.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Methali 23:24
11 Marejeleo ya Msalaba  

Na tena, mfalme akasema hivi, BWANA, Mungu wa Israeli, ahimidiwe, aliyenipa leo hivi mtu wa kuketi katika kiti changu cha enzi, nayo macho yangu yakiwa yanaona hayo.


Basi kwa hiyo usimwachilie, kwa kuwa wewe u mtu wa akili; nawe utajua ikupasayo umtendee, na mvi zake utazishusha Ahera pamoja na damu.


Mwana mwenye hekima humfurahisha babaye; Bali mwana mpumbavu ni mzigo wa mamaye.


Mwana mwenye hekima humfurahisha babaye; Bali mpumbavu humdharau mamaye.


Mwanangu, uwe na hekima na kunifurahisha moyo wangu; Ili nipate kumjibu anilaumuye.


Apendaye hekima humfurahisha babaye; Bali ashikamanaye na makahaba hutapanya mali.


Naye ni nani ajuaye kama huyo atakuwa mwenye hekima au mpumbavu? Hata hivyo atatawala juu ya kazi yangu yote niliyojishughulisha nayo, ambamo ndani yake mimi nimeonesha hekima chini ya jua. Hayo nayo ni ubatili.


Naam, ndugu yangu, nifaidi kwa hili katika Bwana; uniburudishe moyo wangu katika Kristo.


lakini, kwa ajili ya upendo nakusihi, kwa kuwa ndimi, Paulo mzee, na sasa mfungwa wa Kristo Yesu pia.