Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Methali 22:11 - Swahili Revised Union Version

Apendaye usafi wa moyo, na neema ya midomo; Mfalme atakuwa rafiki yake.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Mwenye nia safi na maneno mazuri, atakuwa rafiki wa mfalme.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Mwenye nia safi na maneno mazuri, atakuwa rafiki wa mfalme.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Mwenye nia safi na maneno mazuri, atakuwa rafiki wa mfalme.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Yeye apendaye moyo safi na yeye ambaye maneno yake ni ya neema, mfalme atakuwa rafiki yake.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Yeye apendaye moyo safi na yeye ambaye maneno yake ni ya neema, mfalme atakuwa rafiki yake.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Apendaye usafi wa moyo, na neema ya midomo; Mfalme atakuwa rafiki yake.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Methali 22:11
17 Marejeleo ya Msalaba  

na Azaria mwana wa Nathani alikuwa afisa mkuu tawala; na Zabudi mwana wa Nathani alikuwa kuhani, rafiki yake mfalme.


Kwa maana Mordekai Myahudi akiwa wa pili wake mfalme Ahasuero, na mkuu wa Wayahudi, amependeza mbele ya jamii ya ndugu zake; ambaye aliwajali watu wake, na kuiangalia hali njema ya wazawa wao wote.


Macho yangu yatawaelekea waaminifu katika nchi, Hao wakae nami. Yeye aendaye katika njia kamilifu, Ndiye atakayenitumikia.


Mtu aliye na mikono safi na moyo mweupe, Asiyeiweka nafsi yake katika uongo, Wala hakuapa kwa hila.


Wewe u mzuri sana kuliko wanadamu; Neema imemiminiwa midomoni mwako, Kwa hiyo Mungu amekubariki hata milele.


Upendeleo wa mfalme humwelekea mtumwa atendaye kwa busara; Bali hasira yake itakuwa juu yake aletaye aibu.


Midomo ya haki ni furaha ya wafalme; Nao humpenda yeye asemaye yaliyo sawa.


Macho ya BWANA humhifadhi mwenye maarifa; Bali huyapindua maneno ya mtu haini.


Maneno ya kinywa chake mwenye hekima yana neema; Bali midomo ya mpumbavu itammeza nafsi yake.


Kisha mfalme akawakuza Shadraka, na Meshaki, na Abednego, katika wilaya ya Babeli.


Heri wenye moyo safi; Maana hao watamwona Mungu.


Wakamshuhudia wote, wakiyastaajabia maneno ya neema yaliyotoka kinywani mwake, wakasema, Huyu siye mwana wa Yusufu?