Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Mathayo 5:8 - Swahili Revised Union Version

8 Heri wenye moyo safi; Maana hao watamwona Mungu.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

8 Heri wenye moyo safi, maana watamwona Mungu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

8 Heri wenye moyo safi, maana watamwona Mungu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

8 Heri wenye moyo safi, maana watamwona Mungu.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

8 Heri walio na moyo safi, maana hao watamwona Mungu.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

8 Heri walio na moyo safi, maana hao watamwona Mungu.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

8 Heri wenye moyo safi; Maana hao watamwona Mungu.

Tazama sura Nakili




Mathayo 5:8
25 Marejeleo ya Msalaba  

Yakobo akapaita mahali pale, Penieli, maana alisema, Nimeonana na Mungu uso kwa uso, na nafsi yangu imeokoka.


Kwake ajitakasaye utajionesha kuwa mtakatifu; Na kwa mpotovu utajionesha kuwa mkaidi.


Ni mtu aendaye kwa ukamilifu, Na kutenda haki. Asemaye kweli kwa moyo wake,


Kwake ajitakasaye utajionesha kuwa mtakatifu; Na kwa mpotovu utajionesha kuwa mkaidi.


Mtu aliye na mikono safi na moyo mweupe, Asiyeiweka nafsi yake katika uongo, Wala hakuapa kwa hila.


Ee Mungu, uniumbie moyo safi, Uifanye upya na kuithibiti roho yangu.


Tazama, wapendezwa na kweli iliyo moyoni; Nawe utanifundisha hekima kwa siri,


Hakika Mungu ni mwema kwa Israeli, Kwa hao walio safi mioyo yao.


Apendaye usafi wa moyo, na neema ya midomo; Mfalme atakuwa rafiki yake.


wala hakufanya tofauti kati yetu sisi na wao, akiwasafisha mioyo yao kwa imani.


Maana sasa tunaona kwa kioo kwa jinsi ya fumbo; wakati ule tutaona uso kwa uso; sasa nafahamu kwa sehemu; wakati ule nitajua sana kama mimi nami ninavyojuliwa sana.


Basi, wapenzi wangu, kwa kuwa tuna ahadi hizo, na tujitakase nafsi zetu kutoka kwa uchafu wote wa mwili na roho, huku tukitimiza utakatifu katika kumcha Mungu.


Vitu vyote ni safi kwa hao walio safi; lakini hakuna kilicho safi kwao walio wanajisi, wasioamini; bali akili zao zimekuwa najisi, na nia zao pia.


na tukaribie wenye moyo wa kweli, kwa utimilifu wa imani, hali tumenyunyiziwa mioyo tuache dhamiri mbaya, tumeoshwa miili kwa maji safi.


Tafuteni kwa bidii kuwa na amani na watu wote, na huo utakatifu, ambao hapana mtu atakayemwona Bwana asipokuwa nao;


basi si zaidi damu yake Kristo, ambaye kwamba kwa Roho wa milele alijitoa nafsi yake kwa Mungu kuwa sadaka isiyo na dosari, itawasafisha dhamiri zenu na matendo mafu, mpate kumwabudu Mungu aliye hai?


Lakini hekima itokayo juu, kwanza ni safi, tena ni ya amani, ya upole, tayari kusikiliza maneno ya watu, imejaa rehema na matunda mema, haina fitina, haina unafiki.


Mkaribieni Mungu, naye atawakaribia ninyi. Itakaseni mikono yenu, enyi wenye dhambi, na kuisafisha mioyo yenu, enyi wenye nia mbili.


Mkiisha kujitakasa roho zenu kwa kuitii kweli, hata kuufikia upendano wa ndugu usio na unafiki, basi jitahidini kupendana kwa moyo safi.


nao watamwona uso wake, na jina lake litakuwa katika vipaji vya nyuso zao.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo