Methali 21:7 - Swahili Revised Union Version Jeuri ya wabaya itawaondolea mbali; Kwa sababu wamekataa kutenda hukumu. Matoleo zaidiBiblia Habari Njema Ukatili wa wakatili utawafutilia mbali, maana wanakataa kutenda yaliyo ya haki. Biblia Habari Njema - BHND Ukatili wa wakatili utawafutilia mbali, maana wanakataa kutenda yaliyo ya haki. Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza Ukatili wa wakatili utawafutilia mbali, maana wanakataa kutenda yaliyo ya haki. Neno: Bibilia Takatifu Jeuri ya waovu itawaburuta mbali, kwa kuwa wanakataa kufanya yaliyo sawa. Neno: Maandiko Matakatifu Jeuri ya waovu itawaburuta mbali, kwa kuwa wanakataa kufanya yaliyo sawa. BIBLIA KISWAHILI Jeuri ya wabaya itawaondolea mbali; Kwa sababu wamekataa kutenda hukumu. |
Nami nitawatupa ninyi mbali na macho yangu, kama nilivyowatupa ndugu zenu wote, yaani, wazawa wote wa Efraimu.
Kwa habari za yule baba yake, kwa sababu aliwaonea watu kwa ukali mwingi, na kumnyang'anya ndugu yake mali yake kwa nguvu; na kuyatenda yasiyo mema kati ya watu wake, tazama, atakufa katika uovu wake.
Mtu asiwadanganye kwa maneno yasiyo na maana; kwa kuwa kwa sababu ya hayo hasira ya Mungu huwajia wana wa uasi.