Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Methali 21:7 - Swahili Revised Union Version

Jeuri ya wabaya itawaondolea mbali; Kwa sababu wamekataa kutenda hukumu.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Ukatili wa wakatili utawafutilia mbali, maana wanakataa kutenda yaliyo ya haki.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Ukatili wa wakatili utawafutilia mbali, maana wanakataa kutenda yaliyo ya haki.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Ukatili wa wakatili utawafutilia mbali, maana wanakataa kutenda yaliyo ya haki.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Jeuri ya waovu itawaburuta mbali, kwa kuwa wanakataa kufanya yaliyo sawa.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Jeuri ya waovu itawaburuta mbali, kwa kuwa wanakataa kufanya yaliyo sawa.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Jeuri ya wabaya itawaondolea mbali; Kwa sababu wamekataa kutenda hukumu.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Methali 21:7
15 Marejeleo ya Msalaba  

Madhara yake yatamrejea kichwani pake, Na dhuluma yake itamshukia utosini.


BWANA amejidhihirisha na kutekeleza hukumu; Amemnasa mdhalimu kwa kazi ya mikono yake.


Baraka humkalia mwenye haki kichwani; Bali jeuri hufunika kinywa chake mtu mwovu.


Aandamaye haki na fadhili, Ataona uhai na haki na heshima.


Nami nitawatupa ninyi mbali na macho yangu, kama nilivyowatupa ndugu zenu wote, yaani, wazawa wote wa Efraimu.


Kwa habari za yule baba yake, kwa sababu aliwaonea watu kwa ukali mwingi, na kumnyang'anya ndugu yake mali yake kwa nguvu; na kuyatenda yasiyo mema kati ya watu wake, tazama, atakufa katika uovu wake.


Ninyi mnaogeuza hukumu kuwa uchungu, na kuiangusha haki chini,


Mtu asiwadanganye kwa maneno yasiyo na maana; kwa kuwa kwa sababu ya hayo hasira ya Mungu huwajia wana wa uasi.