Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Methali 21:3 - Swahili Revised Union Version

Kutenda haki na hukumu Humpendeza BWANA kuliko kutoa sadaka.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Kutenda mambo mema na ya haki, humpendeza Mwenyezi-Mungu kuliko tambiko.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Kutenda mambo mema na ya haki, humpendeza Mwenyezi-Mungu kuliko tambiko.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Kutenda mambo mema na ya haki, humpendeza Mwenyezi-Mungu kuliko tambiko.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Kufanya yaliyo sawa na haki inakubalika zaidi kwa Mwenyezi Mungu kuliko dhabihu.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Kufanya yaliyo sawa na haki inakubalika zaidi kwa bwana kuliko dhabihu.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Kutenda haki na hukumu Humpendeza BWANA kuliko kutoa sadaka.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Methali 21:3
10 Marejeleo ya Msalaba  

Ndipo niliposema, Tazama nimekuja, (Katika gombo la kitabu nimeandikiwa,)


Sitakukemea kwa ajili ya dhabihu zako, Na kafara zako ziko mbele zangu daima.


Sadaka ya mtu mbaya ni chukizo kwa BWANA; Bali maombi ya mtu mnyofu ni furaha yake.


Maana nataka fadhili wala si sadaka; na kumjua Mungu kuliko sadaka za kuteketezwa.


BWANA wa majeshi amesema hivi, ya kwamba, Fanyeni hukumu za kweli, kila mtu na amwonee ndugu yake rehema na huruma;


na kumpenda yeye kwa moyo wote, na kwa ufahamu wote, na kwa nguvu zote, na kumpenda jirani kama nafsi yako, kwafaa kuliko sadaka nzima za kuteketezwa na dhabihu zote pia.


Naye Samweli akasema, Je! BWANA huzipenda sadaka za kuteketezwa na dhabihu Sawasawa na kuitii sauti ya BWANA? Angalia, kutii ni bora kuliko dhabihu, Na kusikiza ushauri kuliko mafuta ya beberu.