Hosea 6:6 - Swahili Revised Union Version6 Maana nataka fadhili wala si sadaka; na kumjua Mungu kuliko sadaka za kuteketezwa. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema6 Maana ninachotaka kwenu ni upendo na si tambiko, Kumjua Mungu na si kutoa sadaka za kuteketezwa. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND6 Maana ninachotaka kwenu ni upendo na si tambiko, Kumjua Mungu na si kutoa sadaka za kuteketezwa. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza6 Maana ninachotaka kwenu ni upendo na si tambiko, Kumjua Mungu na si kutoa sadaka za kuteketezwa. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu6 Kwa maana nataka rehema, wala si dhabihu, na kumkubali Mungu kuliko sadaka za kuteketezwa. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu6 Kwa maana nataka rehema, wala si dhabihu, kumkubali Mungu zaidi kuliko sadaka za kuteketezwa. Tazama suraBIBLIA KISWAHILI6 Maana nataka fadhili wala si sadaka; na kumjua Mungu kuliko sadaka za kuteketezwa. Tazama sura |