Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Methali 21:15 - Swahili Revised Union Version

Ni furaha yao wenye haki kutenda hukumu; Lakini ni uharibifu kwao watendao maovu.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Haki ikitekelezwa watu wema hufurahi, lakini watu waovu hufadhaishwa.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Haki ikitekelezwa watu wema hufurahi, lakini watu waovu hufadhaishwa.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Haki ikitekelezwa watu wema hufurahi, lakini watu waovu hufadhaishwa.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Wakati haki imetendeka, huleta furaha kwa wenye haki, bali hofu kwa watenda maovu.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Wakati haki imetendeka, huleta furaha kwa wenye haki, bali kitisho kwa watenda mabaya.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Ni furaha yao wenye haki kutenda hukumu; Lakini ni uharibifu kwao watendao maovu.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Methali 21:15
16 Marejeleo ya Msalaba  

Haleluya. Heri mtu yule amchaye BWANA, Apendezwaye sana na maagizo yake.


Nitajifurahisha sana kwa amri zako, Sitalisahau neno lako.


Kama sheria yako isingalikuwa furaha yangu, Hapo ningalipotea katika mateso yangu.


Kuyafanya mapenzi yako, Ee Mungu wangu, ndiyo furaha yangu; Naam, sheria yako imo moyoni mwangu.


Njia ya BWANA ni kimbilio lake mtu mkamilifu; Bali ni uharibifu kwao watendao maovu.


Mwenye haki huitafakari nyumba ya mtu mbaya; Jinsi wabaya waangushwavyo wakaangamia.


Mtu aikosaye njia ya busara Atakaa katika mkutano wao waliokufa.


Mwanangu! Mbona unashangilia malaya, Na kukikumbatia kifua cha mgeni?


Mimi najua ya kwamba hakuna jema kwao kupita kufurahi, na kufanya mema maadamu wanaishi.


Wewe wamlaki yeye afurahiaye yaliyo haki na kuyatenda, watu wale wakukumbukao katika njia zako; tazama, ulikuwa na hasira, nasi tulitenda dhambi; tumekuwa katika dhambi kwa muda mrefu, nasi Je! Tutaokolewa?


Ndipo nitawaambia dhahiri, Sikuwajua ninyi kamwe; ondokeni kwangu, ninyi mtendao maovu.


Yesu akawaambia, Chakula changu ndicho hiki, niyatende mapenzi yake aliyenituma, nikaimalize kazi yake.


Kwa maana naifurahia sheria ya Mungu kwa utu wa ndani,