Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Methali 2:22 - Swahili Revised Union Version

Bali waovu watatengwa na nchi, Nao wafanyao hila watang'olewa.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Lakini waovu wataondolewa nchini, na wenye hila watangolewa humo.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Lakini waovu wataondolewa nchini, na wenye hila watangolewa humo.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Lakini waovu wataondolewa nchini, na wenye hila watang'olewa humo.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Bali waovu watakatiliwa mbali kutoka nchi, nao wasio waaminifu watang’olewa kutoka humo.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Bali waovu watakatiliwa mbali kutoka nchi, nao wasio waaminifu watang’olewa kutoka humo.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Bali waovu watatengwa na nchi, Nao wafanyao hila watang'olewa.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Methali 2:22
20 Marejeleo ya Msalaba  

Tena Bwana atajiinulia mfalme wa Israeli atakayeiharibu nyumba ya Yeroboamu siku ile; na nini tena hata sasa?


Basi Sauli alikufa kwa sababu ya kosa lake alilomkosa BWANA, kwa sababu ya neno la BWANA, asilolishika; na tena kwa kutaka shauri kwa mwenye pepo wa utambuzi, aulize kwake,


Kwamba mwovu huachiliwa katika siku ya msiba? Na kuongozwa nje katika siku ya ghadhabu?


Wenye dhambi waangamizwe katika nchi, Watendao ubaya wasiwepo tena. Ee nafsi yangu, umhimidi BWANA.


BWANA huwahifadhi wote wampendao, Na wote wasio haki atawaangamiza.


Bali wasio haki watapotea, Nao wamchukiao BWANA watatoweka, Kama uzuri wa mashamba, Kama moshi watatoweka.


Maana waliobarikiwa na BWANA watairithi nchi, Nao waliolaaniwa naye watakatiliwa mbali.


Kwa kuwa BWANA hupenda haki, Wala hawaachi watauwa wake. Wao hulindwa milele, Bali mzawa wa wasio haki ataharibiwa.


Lakini Mungu atakuharibu hata milele; Atakuondolea mbali; Atakunyakua hemani mwako; Atakung'oa katika nchi ya walio hai.


Kumbe! Huyu ndiye mtu yule, Asiyemfanya Mungu kuwa kimbilio lake. Aliutumainia wingi wa mali zake, Na kufanya mali kimbilio lake.


Mwenye haki hataondolewa milele; Bali wasio haki hawatakaa katika nchi.


Ukamilifu wao wenye haki utawaongoza Bali ukaidi wao wenye fitina utawaangamiza.


BWANA hatamsamehe mtu huyo, lakini wakati huo hasira ya BWANA na wivu wake vitafuka moshi juu ya mtu yule, na laana yote iliyoandikwa katika kitabu hiki itamkalia juu yake, na BWANA atalifuta jina lake chini ya mbingu.


BWANA akawang'oa katika nchi yao kwa hasira, na ghadhabu, na makamio makuu, akawatupa waende nchi nyingine, kama hivi leo.


Naye BWANA, Mungu wako, atayatupilia mbali mataifa yale mbele yako kidogo kidogo; haikupasi kuwaangamiza kwa mara moja, wasije wakaongezeka kwako wanyama wa mwitu.