Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Methali 17:9 - Swahili Revised Union Version

Afunikaye kosa hutafuta kupendwa; Bali yeye afichuaye siri hutenga rafiki.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Anayesamehe makosa hujenga urafiki, lakini anayekumbusha makosa hutenga rafiki.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Anayesamehe makosa hujenga urafiki, lakini anayekumbusha makosa hutenga rafiki.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Anayesamehe makosa hujenga urafiki, lakini anayekumbusha makosa hutenga rafiki.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Yeye anayesamehe kosa hudumisha upendo, bali yeyote arudiaye jambo huwatenganisha rafiki wa karibu.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Yeye anayesamehe kosa hudumisha upendo, bali yeyote arudiaye jambo hutenganisha marafiki wa karibu.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Afunikaye kosa hutafuta kupendwa; Bali yeye afichuaye siri hutenga rafiki.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Methali 17:9
7 Marejeleo ya Msalaba  

Heri aliyesamehewa dhambi, Na kuondolewa makosa yake.


Kuchukiana huleta fitina; Bali kupendana husitiri makosa yote.


Mtu mshupavu huleta fitina; Na mchongezi huwafarakanisha rafiki.


Lawama hupenya moyoni mwa mwenye ufahamu, Kuliko mapigo mia moyoni mwa mpumbavu.


Upendo huvumilia, hufadhili; upendo hauhusudu; upendo hautakabari; haujivuni;


jueni ya kuwa yeye amrejeshaye mwenye dhambi hadi akatoka katika njia ya upotevu, ataokoa roho ya mwenye dhambi kutoka mauti, na kufunika wingi wa dhambi.


Zaidi ya yote iweni na bidii kubwa katika kupendana; kwa sababu upendano husitiri wingi wa dhambi.