Zaburi 32:1 - Swahili Revised Union Version1 Heri aliyesamehewa dhambi, Na kuondolewa makosa yake. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema1 Heri yake mtu aliyesamehewa kosa lake, mtu ambaye dhambi yake imeondolewa kabisa. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND1 Heri yake mtu aliyesamehewa kosa lake, mtu ambaye dhambi yake imeondolewa kabisa. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza1 Heri yake mtu aliyesamehewa kosa lake, mtu ambaye dhambi yake imeondolewa kabisa. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu1 Heri mtu aliyesamehewa makosa yake, ambaye dhambi zake zimefunikwa. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu1 Heri mtu yule ambaye amesamehewa makosa yake, ambaye dhambi zake zimefunikwa. Tazama sura |