Zaburi 32:2 - Swahili Revised Union Version2 Heri ambaye BWANA hamhesabii hatia, Na ambaye rohoni mwake hamna hila. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema2 Heri mtu ambaye Mwenyezi-Mungu hamwekei hatia, mtu ambaye hana hila moyoni mwake. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND2 Heri mtu ambaye Mwenyezi-Mungu hamwekei hatia, mtu ambaye hana hila moyoni mwake. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza2 Heri mtu ambaye Mwenyezi-Mungu hamwekei hatia, mtu ambaye hana hila moyoni mwake. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu2 Heri mtu yule ambaye Mwenyezi Mungu hamhesabii dhambi, na ambaye rohoni mwake hamna udanganyifu. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu2 Heri mtu yule ambaye bwana hamhesabii dhambi, na ambaye rohoni mwake hamna udanganyifu. Tazama sura |