Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Methali 17:8 - Swahili Revised Union Version

Kipawa ni kama kito cha thamani machoni pake yeye aliye nacho; Kila kigeukapo hufanikiwa.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Kwa mhongaji, hongo ni kama hirizi; kila afanyacho hufanikiwa.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Kwa mhongaji, hongo ni kama hirizi; kila afanyacho hufanikiwa.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Kwa mhongaji, hongo ni kama hirizi; kila afanyacho hufanikiwa.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Kipawa ni kama kito cha thamani machoni pake yeye aliye nacho; kokote kigeukiapo, hufanikiwa.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Kipawa ni kama kito cha thamani machoni pake yeye aliye nacho; kokote kigeukiapo, hufanikiwa.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Kipawa ni kama kito cha thamani machoni pake yeye aliye nacho; Kila kigeukapo hufanikiwa.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Methali 17:8
19 Marejeleo ya Msalaba  

mbuzi majike mia mbili, mbuzi dume ishirini, kondoo majike mia mbili, na kondoo dume ishirini;


Basi ile zawadi ikavuka mbele yake, naye mwenyewe akakaa usiku ule kambini.


Israeli, baba yao, akawaambia, Kama ndivyo, fanyeni hivi; twaeni tunu za nchi katika vyombo vyenu, mkamchukulie mtu huyo zawadi, zeri kidogo, na asali kidogo, ubani, na manemane, na jozi, na lozi.


Alinishukia kutoka juu, akanichukua, Na kunitoa katika maji mengi.


Kuchomoza kwake ni katika mwisho wa mbingu, Na kuzunguka kwake ni hadi miisho ya mbingu, Wala hakuna kitu Kisichofikiwa na joto lake.


Ee BWANA, utukuzwe kwa nguvu zako, Nasi tutaimba na kuuhimidi uwezo wako.


Sauti ya BWANA ina nguvu; Sauti ya BWANA ina utukufu;


Nawe usipokee rushwa; kwani hiyo rushwa huwapofusha macho hao waonao, na kuyapotoa maneno ya wenye haki.


Asiye haki hutoa rushwa kifuani, Ili kuzipotosha njia za hukumu.


Zawadi ya mtu humpatia nafasi; Humleta mbele ya watu wakuu.


Kipawa cha siri hutuliza hasira; Na rushwa bindoni humliza ghadhabu kali.


Kweli jeuri humpumbaza mwenye hekima, Na rushwa huuharibu ufahamu.


Wakuu wako ni waasi, na rafiki za wezi; kila mtu hupenda rushwa, hufuata malipo; hawampatii yatima haki yake, wala maneno ya mjane hayawafikii.


Maana mimi najua jinsi maasi yenu yalivyo mengi, na jinsi dhambi zenu zilivyo kubwa; ninyi mnaowaonea wenye haki, mnaopokea rushwa, na kuwageuza wahitaji langoni wasipate haki yao.


Mikono yao ni hodari kwa kutenda maovu; afisa na hakimu wanataka rushwa, mtu mkubwa hunena madhara yaliyomo rohoni mwake; hivyo ndivyo wayafumavyo hayo pamoja.


Usipotoe maamuzi; wala usipendelee uso wa mtu; wala usitwae rushwa; kwa kuwa rushwa hupofusha macho ya wenye akili, na kugeuza kesi wa wenye haki.


Basi Daudi akapokea mkononi mwake vitu vile alivyomletea; akamwambia, Haya! Kwea kwa amani kwenda nyumbani kwako; tazama, nimeisikiliza sauti yako, nami nimelikubali ombi lako.