Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Methali 15:3 - Swahili Revised Union Version

Macho ya BWANA yako kila mahali; Yakimchunguza mbaya na mwema.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Macho ya Mwenyezi-Mungu huona kila kitu, humchunguza mtu mwema na mtu mbaya.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Macho ya Mwenyezi-Mungu huona kila kitu, humchunguza mtu mwema na mtu mbaya.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Macho ya Mwenyezi-Mungu huona kila kitu, humchunguza mtu mwema na mtu mbaya.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Macho ya Mwenyezi Mungu yako kila mahali, yakiwaangalia waovu na wema.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Macho ya bwana yako kila mahali, yakiwaangalia waovu na wema.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Macho ya BWANA yako kila mahali; Yakimchunguza mbaya na mwema.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Methali 15:3
13 Marejeleo ya Msalaba  

Kwa maana macho ya BWANA hukimbia kimbia duniani kote, ili ajionesha kuwa mwenye nguvu kwa ajili ya hao, waliokamilika moyo kuelekea kwake. Kwa hayo umetenda upumbavu; kwani tangu sasa utakuwa na vita.


Huwapa usalama, nao wapumzika kwao; Na macho yake yako juu ya njia zao.


Maana anatazama hata miisho ya nchi, Na kuona chini ya mbingu nzima.


Je! Yeye hazioni njia zangu, Na kuzihesabu hatua zangu zote?


Toka mbinguni BWANA huchungulia, Huangalia na kuwaona wanadamu wote.


Ulimi safi ni mti wa uzima; Bali ukorofi wa ulimi huvunja moyo.


Kwa maana njia za mwanadamu ziko mbele ya macho ya BWANA, Na mienendo yake yote huitafakari.


Maana macho yangu yaziangalia njia zao zote, hawakufichwa uso wangu usiwaone, wala haukusitirika uovu wao macho yangu yasiuone.


Je, mtu yeyote aweza kujificha mahali pa siri, nisimwone? Asema BWANA. Je! Mbingu na nchi hazikujawa nami? Asema BWANA.


mkuu wa mashauri, muweza katika kutenda; ambaye macho yake yamefumbuka juu ya njia zote za wanadamu, kumpa kila mtu kwa kadiri ya njia zake, na kwa kadiri ya matunda ya matendo yake,


Maana yeyote aliyeidharau siku ya mambo madogo watafurahi, naye ataiona timazi ikiwa katika mkono wa Zerubabeli; naam, hizi taa saba ndizo macho ya BWANA; yanaona huku na huko duniani kote.


Wala hakuna kiumbe kisichokuwa wazi mbele zake, maana vitu vyote ni tupu na kuwekwa wazi machoni pake yeye ambaye tunapaswa kuwajibika kwake.