Na hao watu wawili, watu wasiofaa, wakaingia, wakaketi mbele yake; wale watu wasiofaa wakamshuhudia Nabothi mbele ya watu, wakasema, Nabothi amemtukana Mungu na mfalme. Ndipo wakamchukua nje ya mji, wakampiga kwa mawe hata akafa.
Methali 14:5 - Swahili Revised Union Version Shahidi mwaminifu hatasema uongo; Bali shahidi wa uongo, pumzi zake ni uongo. Matoleo zaidiBiblia Habari Njema Shahidi mwaminifu hasemi uongo, lakini asiyeaminika hububujika uongo. Biblia Habari Njema - BHND Shahidi mwaminifu hasemi uongo, lakini asiyeaminika hububujika uongo. Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza Shahidi mwaminifu hasemi uongo, lakini asiyeaminika hububujika uongo. Neno: Bibilia Takatifu Shahidi mwaminifu hadanganyi, bali shahidi wa uongo humimina uongo. Neno: Maandiko Matakatifu Shahidi mwaminifu hadanganyi, bali shahidi wa uongo humimina uongo. BIBLIA KISWAHILI Shahidi mwaminifu hatasema uongo; Bali shahidi wa uongo, pumzi zake ni uongo. |
Na hao watu wawili, watu wasiofaa, wakaingia, wakaketi mbele yake; wale watu wasiofaa wakamshuhudia Nabothi mbele ya watu, wakasema, Nabothi amemtukana Mungu na mfalme. Ndipo wakamchukua nje ya mji, wakampiga kwa mawe hata akafa.
tena zitokazo kwa Yesu Kristo, shahidi aliye mwaminifu, mzaliwa wa kwanza wa waliokufa, na mkuu wa wafalme wa dunia. Yeye atupendaye na kutuosha dhambi zetu katika damu yake,
Na kwa malaika wa kanisa lililoko Laodikia andika; Haya ndiyo anenayo yeye aliye Amina, Shahidi aliye mwaminifu na wa kweli, mwanzo wa kuumba kwa Mungu.