Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Methali 14:12 - Swahili Revised Union Version

Iko njia ionekanayo kuwa sawa machoni pa mtu, Lakini mwisho wake ni njia za mauti.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Njia unayodhani kuwa ni sawa, mwishoni yaweza kukuongoza kwenye kifo.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Njia unayodhani kuwa ni sawa, mwishoni yaweza kukuongoza kwenye kifo.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Njia unayodhani kuwa ni sawa, mwishoni yaweza kukuongoza kwenye kifo.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Iko njia ionekanayo kuwa sawa kwa mtu, bali mwisho wake huelekeza mautini.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Iko njia ionekanayo kuwa sawa kwa mtu, bali mwisho wake huelekeza mautini.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Iko njia ionekanayo kuwa sawa machoni pa mtu, Lakini mwisho wake ni njia za mauti.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Methali 14:12
11 Marejeleo ya Msalaba  

Yeroboamu akasema moyoni mwake, Basi ufalme utairudia nyumba ya Daudi.


Kwa hiyo mfalme akafanya shauri, akatengeneza ng'ombe wawili wa dhahabu, akawaambia watu, Ni vigumu kwenu kupanda kwenda Yerusalemu; tazama, hii ndiyo miungu yenu, enyi Israeli, iliyowapandisha kutoka nchi ya Misri.


Njia ya mpumbavu imenyoka machoni pake mwenyewe; Bali yeye aliye na hekima husikiliza shauri.


Iko njia ionekanayo kuwa sawa machoni pa mtu; Lakini mwisho wake ni njia za mauti.


Kuna kizazi cha watu walio safi machoni pao wenyewe; Ambao hawakuoshwa uchafu wao.


Jitahidini kuingia katika mlango ulio mwembamba, kwa maana nawaambia ya kwamba wengi watataka kuingia, wasiweze.


Ni faida gani basi mliyopata siku zile kwa mambo hayo mnayoyatahayarikia sasa? Kwa maana mwisho wa mambo hayo ni mauti.


Maana mtu akijiona kuwa ni kitu, naye si kitu, ajidanganya nafsi yake.


Mtu asiwadanganye kwa maneno yasiyo na maana; kwa kuwa kwa sababu ya hayo hasira ya Mungu huwajia wana wa uasi.


Lakini iweni watendaji wa neno, wala si wasikiaji tu, hali mkijidanganya nafsi zenu.