Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Methali 11:2 - Swahili Revised Union Version

Kijapo kiburi ndipo ijapo aibu; Bali hekima hukaa na wanyenyekevu.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Kiburi huandamana na fedheha, lakini kwa watu wanyenyekevu mna hekima.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Kiburi huandamana na fedheha, lakini kwa watu wanyenyekevu mna hekima.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Kiburi huandamana na fedheha, lakini kwa watu wanyenyekevu mna hekima.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Kiburi kinapokuja, ndipo huja aibu, bali unyenyekevu huja na hekima.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Kiburi kinapokuja, ndipo huja aibu, bali unyenyekevu huja na hekima.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Kijapo kiburi ndipo ijapo aibu; Bali hekima hukaa na wanyenyekevu.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Methali 11:2
10 Marejeleo ya Msalaba  

Kumcha BWANA ni maonyo ya hekima; Na kabla ya heshima hutangulia unyenyekevu.


Kabla ya uharibifu moyo wa mwanadamu hujivuna; Na kabla ya heshima hutangulia unyenyekevu.


Kiburi cha mtu kitamshusha; Bali mwenye roho ya unyenyekevu ataheshimiwa.


Kwa sababu hiyo, Ee mfalme, shauri langu lipate kibali kwako; uache dhambi zako kwa kutenda haki, uache maovu yako kwa kuwahurumia maskini; huenda ukapata kuzidishiwa siku zako za fanaka.


Nawaambia, huyu alishuka kwenda nyumbani kwake amehesabiwa haki kuliko yule; kwa maana kila ajikwezaye atadhiliwa, naye ajidhiliye atakwezwa.