Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Methali 10:26 - Swahili Revised Union Version

Kama siki menoni, na kama moshi machoni, Ndivyo alivyo mtu mvivu kwa hao waliomwajiri.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Kama ilivyo siki kwa meno au moshi machoni, ndivyo alivyo mvivu kwa bwana wake.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Kama ilivyo siki kwa meno au moshi machoni, ndivyo alivyo mvivu kwa bwana wake.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Kama ilivyo siki kwa meno au moshi machoni, ndivyo alivyo mvivu kwa bwana wake.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Kama siki ilivyo kwa meno na moshi kwa macho, ndivyo alivyo mvivu kwa wale waliomtuma.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Kama siki ilivyo kwa meno na moshi kwa macho, ndivyo alivyo mvivu kwa wale waliomtuma.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Kama siki menoni, na kama moshi machoni, Ndivyo alivyo mtu mvivu kwa hao waliomwajiri.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Methali 10:26
8 Marejeleo ya Msalaba  

Kama baridi ya theluji wakati wa mavuno; Ndivyo alivyo mjumbe mwaminifu kwao wamtumao; Kwa maana huwaburudisha bwana zake nafsi zao.


Amwimbiaye nyimbo mtu mwenye moyo mzito, Ni kama yeye avuaye nguo wakati wa baridi; Ni kama siki juu ya magadi.


Apelekaye ujumbe kwa mkono wa mpumbavu Hujikata miguu, na kunywa hasara.


Ewe mvivu, mwendee chungu, Zitafakari njia zake ukapate hekima.


watu wasemao, Simama peke yako, usinikaribie mimi, kwa maana mimi ni mtakatifu kuliko wewe; watu hao ni moshi puani mwangu, moto uwakao mchana kutwa.


Bwana wake akajibu, akamwambia, Wewe mtumwa mbaya na mlegevu, ulijua ya kuwa navuna nisipopanda, nakusanya nisipotawanya;


kwa bidii, bila kulegea; mkiwa na juhudi katika roho zenu; mkimtumikia Bwana;


ili msiwe wavivu, bali mkawe kama hao wazirithio ahadi kwa imani na uvumilivu.