Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Methali 10:15 - Swahili Revised Union Version

Mali ya tajiri ndio ngome yake; Ufukara wa maskini ndio umwangamizao.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Mali ya tajiri ndio ngome yake, umaskini wa maskini humletea maangamizi.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Mali ya tajiri ndio ngome yake, umaskini wa maskini humletea maangamizi.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Mali ya tajiri ndio ngome yake, umaskini wa maskini humletea maangamizi.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Mali ya tajiri ni mji wake wenye ngome, bali ufukara ni maangamizi ya maskini.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Mali ya tajiri ni mji wake wenye ngome, bali ufukara ni maangamizi ya maskini.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Mali ya tajiri ndio ngome yake; Ufukara wa maskini ndio umwangamizao.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Methali 10:15
13 Marejeleo ya Msalaba  

Ambao wanazitumainia mali zao, Na kujisifia wingi wa utajiri wao;


Kumbe! Huyu ndiye mtu yule, Asiyemfanya Mungu kuwa kimbilio lake. Aliutumainia wingi wa mali zake, Na kufanya mali kimbilio lake.


Maskini huchukiwa hata na jirani yake; Bali tajiri ana marafiki wengi.


Mali ya mtu tajiri ni mji wake wa nguvu; Ni kama ukuta mrefu katika mawazo yake.


Ndugu zote wa maskini humchukia; Jinsi gani rafiki zake huzidi kujitenga naye! Huwafuata kwa maneno, lakini wametoweka.


Kwa maana ulinzi wa hekima ni kama ulinzi wa fedha na ubora wa maarifa ni kwamba hekima humhifadhi yeye aliye nayo.


BWANA asema hivi, Mwenye hekima asijisifu kwa sababu ya hekima yake, wala mwenye nguvu asijisifu kwa sababu ya nguvu zake, wala tajiri asijisifu kwa sababu ya utajiri wake;


Wanafunzi wakashangaa kwa maneno yake. Yesu akajibu tena, akawaambia, Watoto, jinsi ilivyo shida wenye kutegemea mali kuingia katika ufalme wa Mungu!


Kisha, nitajiambia, Ee nafsi yangu, una vitu vyema vingi ulivyojiwekea akiba kwa miaka mingi; pumzika basi, ule, unywe, ufurahi.


Walio matajiri wa ulimwengu wa sasa uwaagize wasijivune, wala wasiutumainie utajiri usio yakini, bali wamtumaini Mungu atupaye vitu vyote kwa wingi ili tuvitumie kwa furaha.