Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Mathayo 4:20 - Swahili Revised Union Version

Mara wakaziacha nyavu zao, wakamfuata.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Mara wakaziacha nyavu zao, wakamfuata.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Mara wakaziacha nyavu zao, wakamfuata.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Mara wakaziacha nyavu zao, wakamfuata.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Mara wakaziacha nyavu zao, wakamfuata.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Mara wakaziacha nyavu zao, wakamfuata.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Mara wakaziacha nyavu zao, wakamfuata.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Mathayo 4:20
10 Marejeleo ya Msalaba  

Akarudi akiacha kumfuata, akatwaa lile jozi la ng'ombe, akawachinja, akatokosa nyama zao kwa ile miti ya ng'ombe, akawapa watu, wakala. Kisha akainuka, akamfuata Eliya, akamhudumia.


Nilifanya haraka wala sikukawia, Kuyatii maagizo yako.


Apendaye baba au mama kuliko mimi, hanistahili; wala apendaye mwana au binti kuliko mimi, hanistahili.


Ndipo Petro akajibu, akamwambia, Tazama, sisi tumeacha vyote tukakufuata; tutapata nini basi?


Akawaambia, Nifuateni, nami nitawafanya kuwa wavuvi wa watu.


Alipoendelea, akaona ndugu wengine wawili, Yakobo wa Zebedayo, na Yohana nduguye, ambao walikuwa katika mashua pamoja na Zebedayo baba yao, wakizitengeneza nyavu zao; akawaita.


Hata walipokwisha kuziegesha mashua zao pwani, wakaacha vyote wakamfuata.


alipoona vema kumdhihirisha Mwanawe ndani yangu, ili niwahubirie Mataifa habari zake; mara sikufanya shauri na watu wenye mwili na damu;