Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Mathayo 4:19 - Swahili Revised Union Version

19 Akawaambia, Nifuateni, nami nitawafanya kuwa wavuvi wa watu.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

19 Basi, akawaambia, “Nifuateni, nami nitawafanya nyinyi wavuvi wa watu.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

19 Basi, akawaambia, “Nifuateni, nami nitawafanya nyinyi wavuvi wa watu.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

19 Basi, akawaambia, “Nifuateni, nami nitawafanya nyinyi wavuvi wa watu.”

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

19 Isa akawaambia, “Njooni, nifuateni nami nitawafanya mwe wavuvi wa watu.”

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

19 Isa akawaambia, “Njooni, nifuateni nami nitawafanya mwe wavuvi wa watu.”

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

19 Akawaambia, Nifuateni, nami nitawafanya kuwa wavuvi wa watu.

Tazama sura Nakili




Mathayo 4:19
17 Marejeleo ya Msalaba  

Wakati huo Yesu aliwaambia wanafunzi wake, Mtu yeyote akitaka kunifuata, na ajikane mwenyewe, ajitwike msalaba wake, anifuate.


Yesu akamwambia, Ukitaka kuwa mkamilifu, nenda ukauze ulivyo navyo, uwape maskini, nawe utakuwa na hazina mbinguni; kisha njoo unifuate.


Naye alipokuwa akitembea kando ya bahari ya Galilaya, aliona ndugu wawili, Simoni aitwaye Petro, na Andrea nduguye, wakitupa jarife baharini; kwa maana walikuwa wavuvi.


Mara wakaziacha nyavu zao, wakamfuata.


Lakini Yesu akamwambia, Nifuate; waache wafu wazike wafu wao.


Naye Yesu alipokuwa akipita kutoka huko aliona mtu ameketi forodhani, aitwaye Mathayo, akamwambia, Nifuate. Akaondoka, akamfuata.


Na alipokuwa akipita, akamwona Lawi wa Alfayo, ameketi forodhani, akamwambia, Nifuate. Akaondoka akamfuata.


Baada ya hayo akatoka, akaona mtoza ushuru, jina lake Lawi, ameketi forodhani, akamwambia, Nifuate.


Akamwambia mwingine, Nifuate. Akasema, Bwana, nipe ruhusa kwanza niende nikamzike baba yangu.


Kesho yake alitaka kuondoka kwenda Galilaya, naye akamwona Filipo. Yesu akamwambia, Nifuate.


Mtu akinitumikia, na anifuate; nami nilipo, ndipo na mtumishi wangu atakapokuwapo. Tena mtu akinitumikia, Baba atamheshimu.


Yesu akamwambia, Ikiwa nataka huyu akae hata nitakapokuja, imekuhusuje wewe? Wewe unifuate mimi.


Lakini na iwe hivyo, mimi sikuwalemea; bali kwa kuwa mwerevu niliwapata kwa hila.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo