Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Mathayo 4:20 - Swahili Revised Union Version

20 Mara wakaziacha nyavu zao, wakamfuata.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

20 Mara wakaziacha nyavu zao, wakamfuata.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

20 Mara wakaziacha nyavu zao, wakamfuata.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

20 Mara wakaziacha nyavu zao, wakamfuata.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

20 Mara wakaziacha nyavu zao, wakamfuata.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

20 Mara wakaziacha nyavu zao, wakamfuata.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

20 Mara wakaziacha nyavu zao, wakamfuata.

Tazama sura Nakili




Mathayo 4:20
10 Marejeleo ya Msalaba  

Akarudi akiacha kumfuata, akatwaa lile jozi la ng'ombe, akawachinja, akatokosa nyama zao kwa ile miti ya ng'ombe, akawapa watu, wakala. Kisha akainuka, akamfuata Eliya, akamhudumia.


Nilifanya haraka wala sikukawia, Kuyatii maagizo yako.


Apendaye baba au mama kuliko mimi, hanistahili; wala apendaye mwana au binti kuliko mimi, hanistahili.


Ndipo Petro akajibu, akamwambia, Tazama, sisi tumeacha vyote tukakufuata; tutapata nini basi?


Akawaambia, Nifuateni, nami nitawafanya kuwa wavuvi wa watu.


Alipoendelea, akaona ndugu wengine wawili, Yakobo wa Zebedayo, na Yohana nduguye, ambao walikuwa katika mashua pamoja na Zebedayo baba yao, wakizitengeneza nyavu zao; akawaita.


Hata walipokwisha kuziegesha mashua zao pwani, wakaacha vyote wakamfuata.


alipoona vema kumdhihirisha Mwanawe ndani yangu, ili niwahubirie Mataifa habari zake; mara sikufanya shauri na watu wenye mwili na damu;


Tufuate:

Matangazo


Matangazo