Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Luka 5:11 - Swahili Revised Union Version

11 Hata walipokwisha kuziegesha mashua zao pwani, wakaacha vyote wakamfuata.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

11 Basi, baada ya kuzileta zile mashua ukingoni mwa ziwa, wakaacha yote, wakamfuata.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

11 Basi, baada ya kuzileta zile mashua ukingoni mwa ziwa, wakaacha yote, wakamfuata.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

11 Basi, baada ya kuzileta zile mashua ukingoni mwa ziwa, wakaacha yote, wakamfuata.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

11 Hivyo wakasogeza mashua zao hadi ufuoni mwa bahari, wakaacha kila kitu na kumfuata.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

11 Hivyo wakasogeza mashua zao mpaka ufuoni mwa bahari, wakaacha kila kitu na kumfuata.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

11 Hata walipokwisha kuziegesha mashua zao pwani, wakaacha vyote wakamfuata.

Tazama sura Nakili




Luka 5:11
11 Marejeleo ya Msalaba  

Apendaye baba au mama kuliko mimi, hanistahili; wala apendaye mwana au binti kuliko mimi, hanistahili.


Ndipo Petro akajibu, akamwambia, Tazama, sisi tumeacha vyote tukakufuata; tutapata nini basi?


Na kila mtu aliyeacha nyumba, au ndugu wa kiume au wa kike, au baba, au mama, au watoto, au mashamba, kwa ajili ya jina langu, atapokea mara mia, na kuurithi uzima wa milele.


Mara wakaziacha nyavu zao, wakamfuata.


Mara wakaiacha mashua na baba yao, wakamfuata.


Yesu akamkazia macho, akampenda, akamwambia, Umepungukiwa na neno moja. Nenda, ukauze ulivyo navyo vyote, uwape maskini, nawe utakuwa na hazina mbinguni; kisha njoo unifuate.


Akaacha vyote, akaondoka, akamfuata.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo