Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Mathayo 27:47 - Swahili Revised Union Version

Na baadhi yao waliokuweko, waliposikia, walisema, Huyu anamwita Eliya.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Lakini wale waliosimama pale waliposikia hivyo wakasema, “Anamwita Elia.”

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Lakini wale waliosimama pale waliposikia hivyo wakasema, “Anamwita Elia.”

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Lakini wale waliosimama pale waliposikia hivyo wakasema, “Anamwita Elia.”

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Baadhi ya watu waliokuwa wamesimama pale waliposikia hayo, wakasema, “Anamwita Ilya.”

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Baadhi ya watu waliokuwa wamesimama pale waliposikia hayo, wakasema, “Anamwita Ilya.”

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Na baadhi yao waliokuweko, waliposikia, walisema, Huyu anamwita Eliya.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Mathayo 27:47
5 Marejeleo ya Msalaba  

Angalieni, nitawatumia Eliya nabii, kabla siku ile ya BWANA, iliyo kuu na ya kuogofya haijafika.


Na ikiwa mnataka kukubali, yeye ndiye Eliya atakayekuja.


Na kama saa tisa, Yesu akapaza sauti yake kwa nguvu akisema, Eloi, Eloi, lama sabakthani? Yaani, Mungu wangu, Mungu wangu, mbona umeniacha?


Mara mmoja wao akaenda mbio, akatwaa sifongo, akaijaza siki, akaitia juu ya mwanzi, akamnywesha.