Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Mathayo 27:26 - Swahili Revised Union Version

Ndipo akawafungulia Baraba; na baada ya kumpiga Yesu mijeledi, akamtoa ili asulubiwe.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Hapo Pilato akawafungulia Baraba kutoka gerezani, na baada ya kumpiga Yesu mijeledi, akamtoa asulubiwe.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Hapo Pilato akawafungulia Baraba kutoka gerezani, na baada ya kumpiga Yesu mijeledi, akamtoa asulubiwe.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Hapo Pilato akawafungulia Baraba kutoka gerezani, na baada ya kumpiga Yesu mijeledi, akamtoa asulubiwe.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Basi akawafungulia Baraba. Lakini baada ya kuamuru Isa apigwe mijeledi, akamtoa ili asulubishwe.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Basi akawafungulia Baraba. Lakini baada ya kuamuru Isa achapwe mijeledi, akamtoa ili asulubishwe.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Ndipo akawafungulia Baraba; na baada ya kumpiga Yesu mijeledi, akamtoa ili asulubiwe.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Mathayo 27:26
11 Marejeleo ya Msalaba  

Niliwatolea wapigao mgongo wangu, na wang'oao ndevu mashavu yangu; sikuficha uso wangu usipate fedheha na kutemewa mate.


Bali alijeruhiwa kwa makosa yetu, Alichubuliwa kwa maovu yetu; Adhabu ya amani yetu ilikuwa juu yake, Na kwa kupigwa kwake sisi tumepona.


kisha watampeleka kwa Mataifa wapate kumdhihaki, na kumpiga mijeledi, na kumsulubisha; na siku ya tatu atafufuka.


nao watamdhihaki, na kumtemea mate, na kumpiga mijeledi, na kumwua; na baada ya siku tatu atafufuka.


Pilato kwa kupenda kuwaridhisha watu, akawafungulia Baraba; akamtoa Yesu, baada ya kumpiga mijeledi, ili asulubiwe.


Kwa hiyo nitamrudi, kisha nitamfungua. [


Basi ndipo Pilato alipomtwaa Yesu, akampiga mijeledi.


Basi ndipo alipomtia mikononi mwao ili asulubiwe; nao wakampokea Yesu.


Yeye mwenyewe alizichukua dhambi zetu katika mwili wake juu ya mti, tukiwa wafu kwa mambo ya dhambi, tuwe hai kwa mambo ya haki; na kwa kupigwa kwake mliponywa.