Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Mathayo 27:18 - Swahili Revised Union Version

Kwa maana alijua ya kuwa wamemtoa kwa ajili ya husuda.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Alisema hivyo maana alijua wazi kwamba walimleta kwake kwa sababu ya wivu.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Alisema hivyo maana alijua wazi kwamba walimleta kwake kwa sababu ya wivu.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Alisema hivyo maana alijua wazi kwamba walimleta kwake kwa sababu ya wivu.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Kwa kuwa alitambua kwamba walikuwa wamemkabidhi Isa kwake kwa ajili ya wivu.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Kwa kuwa alitambua Isa alikuwa amekabidhiwa kwake kwa ajili ya wivu.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Kwa maana alijua ya kuwa wamemtoa kwa ajili ya husuda.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Mathayo 27:18
13 Marejeleo ya Msalaba  

Ndugu zake wakamhusudu; bali baba yake akalihifadhi neno hili.


Wakamhusudu Musa kambini, Na Haruni, mtakatifu wa BWANA.


Ghadhabu ni kali, na hasira ni gharika; Lakini ni nani awezaye kusimama mbele ya wivu.


Tena nikagundua kuwa juhudi zote, na ustadi wote katika kazi, hutokana na mtu kumwonea mwingine wivu. Hayo nayo ni ubatili na kufukuza upepo.


BWANA, mkono wako umeinuliwa, lakini hawaoni; lakini watauona wivu wako kwa ajili ya watu wako, nao watatahayari; naam, moto utawala adui zako.


Basi walipokutanika, Pilato akawaambia, Mnataka niwafungulie yupi? Yule Baraba, au Yesu aitwaye Kristo?


Na alipokuwa ameketi juu ya kiti cha hukumu, mkewe alimpelekea mjumbe, kumwambia, Usiwe na neno na yule mwenye haki; kwa sababu nimeteswa mengi leo katika ndoto kwa ajili yake.


Kwa maana alitambua ya kuwa wakuu wa makuhani wamemtoa kwa husuda.


Bali Wayahudi, walipowaona makutano, wakajaa wivu, wakayakanusha maneno yaliyonenwa na Paulo, wakibisha na kutukana.


Akaondoka Kuhani Mkuu na wote waliokuwa pamoja naye, (hao ndio walio wa madhehebu ya Masadukayo), wamejaa wivu,


Wale wazee wetu wakimwonea wivu Yusufu, wakamwuza aende Misri. Mungu akawa pamoja naye,


Au mwadhani ya kwamba Maandiko yasema bure? Huyo Roho akaaye ndani yetu hututamani kiasi cha kuona wivu?