Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Mathayo 27:16 - Swahili Revised Union Version

Basi palikuwa na mfungwa mashuhuri siku zile, aitwaye Baraba.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Wakati huo kulikuwa na mfungwa aliyejulikana sana, jina lake Baraba.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Wakati huo kulikuwa na mfungwa aliyejulikana sana, jina lake Baraba.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Wakati huo kulikuwa na mfungwa aliyejulikana sana, jina lake Baraba.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Palikuwa na mfungwa mmoja mwenye sifa mbaya, aliyeitwa Baraba.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Wakati huo alikuwepo mfungwa mmoja mwenye sifa mbaya, aliyeitwa Baraba.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Basi palikuwa na mfungwa mashuhuri siku zile, aitwaye Baraba.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Mathayo 27:16
9 Marejeleo ya Msalaba  

Basi wakati wa sikukuu, mtawala desturi yake huwafungulia mkutano mfungwa mmoja waliyemtaka.


Basi walipokutanika, Pilato akawaambia, Mnataka niwafungulie yupi? Yule Baraba, au Yesu aitwaye Kristo?


Palikuwa na mtu aitwaye Baraba, aliyefungwa pamoja na waasi, waliosababisha mauaji katika uhalifu huo.


Akamfungua yule aliyetupwa gerezani kwa ajili ya fitina na uuaji, yule waliyemtaka, akamtoa Yesu wamfanyie watakavyo.


Basi wakapiga kelele tena kusema, Si huyu, bali Baraba. Naye yule Baraba alikuwa mnyang'anyi.


Bali ninyi mlimkana yule Mtakatifu, yule Mwenye haki, mkataka mpewe mwuaji;


ambao wakijua sana hukumu ya haki ya Mungu, ya kwamba wayatendao hayo wamestahili mauti, wanatenda hayo, wala si hivyo tu, bali wanakubaliana nao wayatendao.


Nisalimieni Androniko na Yunia, jamaa zangu, waliofungwa pamoja nami, ambao ni maarufu miongoni mwa mitume; nao walikuwa katika Kristo kabla yangu.