Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Marko 15:7 - Swahili Revised Union Version

7 Palikuwa na mtu aitwaye Baraba, aliyefungwa pamoja na waasi, waliosababisha mauaji katika uhalifu huo.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

7 Basi, kulikuwa na mtu mmoja aitwaye Baraba, ambaye alikuwa amefungwa pamoja na waasi wengine kwa kusababisha uasi na mauaji.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

7 Basi, kulikuwa na mtu mmoja aitwaye Baraba, ambaye alikuwa amefungwa pamoja na waasi wengine kwa kusababisha uasi na mauaji.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

7 Basi, kulikuwa na mtu mmoja aitwaye Baraba, ambaye alikuwa amefungwa pamoja na waasi wengine kwa kusababisha uasi na mauaji.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

7 Wakati huo, mtu aliyeitwa Baraba alikuwa amefungwa gerezani pamoja na waasi wengine waliokuwa wametekeleza uuaji wakati wa maasi.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

7 Wakati huo, mtu aliyeitwa Baraba alikuwa amefungwa gerezani pamoja na waasi wengine waliokuwa wametekeleza uuaji wakati wa maasi.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

7 Palikuwa na mtu aitwaye Baraba, aliyefungwa pamoja na waasi, waliosababisha mauaji katika uhalifu huo.

Tazama sura Nakili




Marko 15:7
5 Marejeleo ya Msalaba  

Basi palikuwa na mfungwa mashuhuri siku zile, aitwaye Baraba.


Basi wakati wa sikukuu huwafungulia mfungwa mmoja, wamwombaye.


Makutano wakaja, wakaanza kuomba awafanyie kama vile alivyozoea.


Akamfungua yule aliyetupwa gerezani kwa ajili ya fitina na uuaji, yule waliyemtaka, akamtoa Yesu wamfanyie watakavyo.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo