Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Marko 15:8 - Swahili Revised Union Version

8 Makutano wakaja, wakaanza kuomba awafanyie kama vile alivyozoea.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

8 Watu wengi wakamwendea Pilato wakamwomba awafanyie kama kawaida yake.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

8 Watu wengi wakamwendea Pilato wakamwomba awafanyie kama kawaida yake.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

8 Watu wengi wakamwendea Pilato wakamwomba awafanyie kama kawaida yake.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

8 Umati ule wa watu wakamjia Pilato na kumwomba awafanyie kama ilivyokuwa desturi yake.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

8 Ule umati wa watu ukamjia Pilato na kumwomba awafanyie kama ilivyokuwa desturi yake.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

8 Makutano wakaja, wakaanza kuomba awafanyie kama vile alivyozoea.

Tazama sura Nakili




Marko 15:8
5 Marejeleo ya Msalaba  

Nanyi mtamweka hata siku ya kumi na nne ya mwezi ule ule; na kusanyiko lote la mkutano wa Israeli watamchinja jioni.


Basi wakati wa sikukuu, mtawala desturi yake huwafungulia mkutano mfungwa mmoja waliyemtaka.


Akaondoka huko akafika katika eneo la Yudea, na ng'ambo ya Yordani; makutano mengi wakakutanika tena wakamwendea; akawafundisha tena kama alivyozoea.


Palikuwa na mtu aitwaye Baraba, aliyefungwa pamoja na waasi, waliosababisha mauaji katika uhalifu huo.


Pilato akawajibu, akisema, Je! Mnataka niwafungulie mfalme wa Wayahudi?


Tufuate:

Matangazo


Matangazo