Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Mathayo 26:4 - Swahili Revised Union Version

wakafanya shauri pamoja, ili wamkamate Yesu kwa hila na kumwua.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Wakashauriana jinsi ya kumtia Yesu nguvuni kwa hila wamuue.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Wakashauriana jinsi ya kumtia Yesu nguvuni kwa hila wamuue.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Wakashauriana jinsi ya kumtia Yesu nguvuni kwa hila wamuue.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Wakapanga kumkamata Isa kwa siri na kumuua.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Wakafanya shauri ili kumkamata Isa kwa siri na kumuua.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

wakafanya shauri pamoja, ili wamkamate Yesu kwa hila na kumwua.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Mathayo 26:4
10 Marejeleo ya Msalaba  

Basi nyoka alikuwa mwerevu kuliko wanyama wote wa mwitu aliowafanya BWANA Mungu. Akamwambia mwanamke, Ati! Hivi ndivyo alivyosema Mungu, Msile matunda ya miti yote ya bustani?


Wafalme wa dunia wanajipanga, Na wakuu wanafanya shauri pamoja, Juu ya BWANA, Na juu ya masihi wake,


Ewe mtu mbaya, usiyavizie makao yake mwenye haki; Wala usipaharibu mahali pake pa kupumzika;


Lakini wale Mafarisayo wakatoka wakafanya shauri juu yake jinsi ya kumwangamiza.


Enyi nyoka, wana wa majoka, mtaikimbiaje hukumu ya Jehanamu?


Baada ya siku mbili ilikuwa sikukuu ya Pasaka, na mikate isiyochachwa; wakuu wa makuhani na waandishi wakatafuta njia ya kumkamata kwa hila na kumwua.


Basi tangu siku ile walifanya shauri la kumwua.


akasema, Ewe mwenye kujaa hila na uovu wote, mwana wa Ibilisi, adui wa haki yote, huachi kuzipotoa njia za Bwana zilizonyooka?


Huyo akawafanyia hila kabila yetu, na kuwatenda mabaya baba zetu, akiwaamuru wawatupe watoto wao wachanga, ili wasiishi.


Lakini nahofu; kama yule nyoka alivyomdanganya Hawa kwa hila yake, asije akawaharibu fikira zenu, mkauacha unyofu na usafi kwa Kristo.