Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Mathayo 26:33 - Swahili Revised Union Version

Petro akajibu, akamwambia, Wajapochukizwa wote kwa ajili yako, mimi sitachukizwa kamwe.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Petro akamwambia Yesu, “Hata kama wote watakuwa na mashaka nawe na kukuacha, mimi sitakuacha kamwe.”

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Petro akamwambia Yesu, “Hata kama wote watakuwa na mashaka nawe na kukuacha, mimi sitakuacha kamwe.”

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Petro akamwambia Yesu, “Hata kama wote watakuwa na mashaka nawe na kukuacha, mimi sitakuacha kamwe.”

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Petro akajibu, “Hata kama wote watakuacha, kamwe mimi sitakuacha.”

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Petro akajibu, “Hata kama wote watakuacha, kamwe mimi sitakuacha.”

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Petro akajibu, akamwambia, Wajapochukizwa wote kwa ajili yako, mimi sitachukizwa kamwe.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Mathayo 26:33
15 Marejeleo ya Msalaba  

Nyayo zangu zimeshikamana na njia zako, Hatua zangu hazikuondoshwa.


Wanadamu hutangaza kila mtu hisani yake mwenyewe; Bali mtu aliye mwaminifu, ni nani awezaye kumpata?


Moyo huwa mdanganyifu kuliko vitu vyote, una ugonjwa wa kufisha; nani awezaye kuujua?


Lakini baada ya kufufuka kwangu, nitawatangulia kwenda Galilaya.


Yesu akamwambia, Amin, nakuambia wewe, usiku huu kabla ya kuwika jogoo, utanikana mara tatu.


Petro akamwambia, Hata wajapokunguwazwa wote, lakini siyo mimi.


Akamwambia, Bwana, niwapo pamoja nawe, mimi ni tayari kwenda gerezani au hata kifoni.


Basi walipokwisha kula, Yesu akamwambia Simoni Petro, Je! Simoni wa Yohana, wewe wanipenda kuliko hawa? Akamwambia, Naam, Bwana, wewe wajua kuwa nakupenda. Akamwambia, Lisha wana-kondoo wangu.


Kwa pendo la udugu, mpendane ninyi kwa ninyi; kwa heshima mkiwatanguliza wenzenu;


Msitende neno lolote kwa kushindana wala kwa majivuno; bali kwa unyenyekevu, kila mtu na amhesabu mwenziwe kuwa bora kuliko nafsi yake.