Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Mathayo 26:32 - Swahili Revised Union Version

32 Lakini baada ya kufufuka kwangu, nitawatangulia kwenda Galilaya.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

32 Lakini baada ya kufufuka kwangu, nitawatangulieni Galilaya.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

32 Lakini baada ya kufufuka kwangu, nitawatangulieni Galilaya.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

32 Lakini baada ya kufufuka kwangu, nitawatangulieni Galilaya.”

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

32 Lakini baada ya kufufuka kwangu, nitawatangulia kwenda Galilaya.”

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

32 Lakini baada ya kufufuka kwangu, nitawatangulia kwenda Galilaya.”

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

32 Lakini baada ya kufufuka kwangu, nitawatangulia kwenda Galilaya.

Tazama sura Nakili




Mathayo 26:32
13 Marejeleo ya Msalaba  

Tangu wakati huo Yesu alianza kuwaonya wanafunzi wake ya kwamba imempasa kwenda Yerusalemu, na kupata mateso mengi kwa wazee na wakuu wa makuhani, na waandishi, na kuuawa, na siku ya tatu kufufuka.


kisha watampeleka kwa Mataifa wapate kumdhihaki, na kumpiga mijeledi, na kumsulubisha; na siku ya tatu atafufuka.


Petro akajibu, akamwambia, Wajapochukizwa wote kwa ajili yako, mimi sitachukizwa kamwe.


Kisha Yesu akawaambia, Msiogope; nendeni, mkawaambie ndugu zangu waende Galilaya, ndiko watakakoniona.


Na wale wanafunzi kumi na mmoja wakaenda Galilaya hadi katika mlima ule aliowaagiza Yesu.


Lakini baada ya kufufuka kwangu, nitawatangulia kwenda Galilaya.


Lakini nendeni zenu, mkawaambie wanafunzi wake, na Petro, ya kwamba awatangulia kwenda Galilaya; huko mtamwona, kama alivyowaambia.


baadaye aliwatokea ndugu zaidi ya mia tano pamoja; katika hao wengi wanaishi hata sasa, ila baadhi yao wamelala;


Tufuate:

Matangazo


Matangazo