Luka 22:33 - Swahili Revised Union Version33 Akamwambia, Bwana, niwapo pamoja nawe, mimi ni tayari kwenda gerezani au hata kifoni. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema33 Naye Petro akamjibu, “Bwana, mimi niko tayari kwenda pamoja nawe gerezani, na hata kufa.” Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND33 Naye Petro akamjibu, “Bwana, mimi niko tayari kwenda pamoja nawe gerezani, na hata kufa.” Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza33 Naye Petro akamjibu, “Bwana, mimi niko tayari kwenda pamoja nawe gerezani, na hata kufa.” Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu33 Petro akajibu, “Bwana, niko tayari kwenda pamoja nawe gerezani na hata katika kifo.” Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu33 Petro akajibu, “Bwana Isa, niko tayari kwenda pamoja nawe gerezani na hata kifoni.” Tazama suraBIBLIA KISWAHILI33 Akamwambia, Bwana, niwapo pamoja nawe, mimi ni tayari kwenda gerezani au hata kifoni. Tazama sura |