Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Mathayo 26:25 - Swahili Revised Union Version

Yuda, yule mwenye kumsaliti, akajibu, akasema, Ni mimi, Rabi? Akamwambia, Wewe umesema.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Yuda, ambaye ndiye aliyetaka kumsaliti, akamwuliza, “Mwalimu! Je, ni mimi?” Yesu akamjibu, “Wewe umesema.”

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Yuda, ambaye ndiye aliyetaka kumsaliti, akamwuliza, “Mwalimu! Je, ni mimi?” Yesu akamjibu, “Wewe umesema.”

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Yuda, ambaye ndiye aliyetaka kumsaliti, akamwuliza, “Mwalimu! Je, ni mimi?” Yesu akamjibu, “Wewe umesema.”

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Kisha Yuda, yule mwenye kumsaliti, akasema, “Je, ni mimi Mwalimu?” Isa akajibu, “Naam, wewe mwenyewe umesema.”

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Kisha Yuda, yule mwenye kumsaliti, akasema, “Je, ni mimi Mwalimu?” Isa akajibu, “Naam, wewe mwenyewe umesema.”

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Yuda, yule mwenye kumsaliti, akajibu, akasema, Ni mimi, Rabi? Akamwambia, Wewe umesema.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Mathayo 26:25
11 Marejeleo ya Msalaba  

Lakini yeye akaingia, akasimama mbele ya bwana wake. Elisha akamwambia, Watoka wapi, Gehazi? Akanena, Mtumwa wako hakuenda mahali.


Hivyo ndivyo mwendo wa mwanamke mzinifu; Hula, akapangusa kinywa chake, Akasema, Sikufanya uovu.


na kusalimiwa masokoni, na kuitwa na watu, Rabi.


Bali ninyi msiitwe Rabi, maana mwalimu wenu ni mmoja, nanyi nyote ni ndugu.


Wakati huo mmoja wa wale Kumi na Wawili, jina lake Yuda Iskarioti, aliwaendea wakuu wa makuhani,


Mara akamwendea Yesu, akasema, Salamu, Rabi, akambusu.


Yesu akamwambia, Wewe umesema; lakini nawaambieni, Tangu sasa mtamwona Mwana wa Adamu ameketi katika mkono wa kulia wa nguvu, akija juu ya mawingu ya mbinguni.


Naye Yesu akasimama mbele ya mtawala; mtawala akamwuliza, akasema, Wewe ndiwe mfalme wa Wayahudi? Yesu akamwambia, Wewe wasema.


Wakasema wote, Basi, wewe ndiwe Mwana wa Mungu? Akawaambia, Ninyi mwasema kwamba mimi ndiye.


Basi Pilato akamwambia, Wewe u mfalme basi? Yesu akajibu, Wewe wasema, kwa kuwa mimi ni mfalme. Mimi nimezaliwa kwa ajili ya haya, na kwa ajili ya haya mimi nilikuja ulimwenguni, ili niishuhudie kweli. Kila aliye wa hiyo kweli hunisikia sauti yangu.


Huko nyuma wanafunzi wakamsihi wakisema, Rabi, ule.