Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Mathayo 26:12 - Swahili Revised Union Version

Maana kwa kunimwagia mwili wangu marhamu hiyo, ametenda hivyo ili kuniweka tayari kwa maziko yangu.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Huyu mama amenimiminia marashi ili kunitayarisha kwa maziko.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Huyu mama amenimiminia marashi ili kunitayarisha kwa maziko.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Huyu mama amenimiminia marashi ili kunitayarisha kwa maziko.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Alipomiminia haya manukato kwenye mwili wangu, amefanya hivyo ili kuniandaa kwa ajili ya maziko yangu.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Alipomiminia haya manukato kwenye mwili wangu, amefanya hivyo ili kuniandaa kwa ajili ya maziko yangu.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Maana kwa kunimwagia mwili wangu marhamu hiyo, ametenda hivyo ili kuniweka tayari kwa maziko yangu.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Mathayo 26:12
8 Marejeleo ya Msalaba  

Yusufu akawaagiza watumishi wake waganga wampake baba yake dawa asioze. Waganga wakampaka dawa Israeli.


Wakamzika katika makaburi yake mwenyewe, aliyojichimbia katika mji wa Daudi, wakamlaza juu ya kitanda kilichojazwa manukato, na kila namna ya machanganyiko ya hao mafundi wa dawa; wakawasha moto mkubwa sana kwa heshima yake.


Ametenda alivyoweza; ametangulia kuupaka mwili wangu marhamu kwa ajili ya maziko.


Na sabato ilipokwisha kupita, Mariamu Magdalene na Mariamu mamaye Yakobo, na Salome walinunua manukato wapate kwenda kumpaka.


Wakarudi, wakatayarisha manukato na marhamu. Na siku ya sabato walistarehe kama ilivyoamriwa.


Basi Yesu alisema, Mwache aiweke kwa siku ya maziko yangu.