Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Mathayo 26:12 - Swahili Revised Union Version

12 Maana kwa kunimwagia mwili wangu marhamu hiyo, ametenda hivyo ili kuniweka tayari kwa maziko yangu.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

12 Huyu mama amenimiminia marashi ili kunitayarisha kwa maziko.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

12 Huyu mama amenimiminia marashi ili kunitayarisha kwa maziko.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

12 Huyu mama amenimiminia marashi ili kunitayarisha kwa maziko.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

12 Alipomiminia haya manukato kwenye mwili wangu, amefanya hivyo ili kuniandaa kwa ajili ya maziko yangu.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

12 Alipomiminia haya manukato kwenye mwili wangu, amefanya hivyo ili kuniandaa kwa ajili ya maziko yangu.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

12 Maana kwa kunimwagia mwili wangu marhamu hiyo, ametenda hivyo ili kuniweka tayari kwa maziko yangu.

Tazama sura Nakili




Mathayo 26:12
8 Marejeleo ya Msalaba  

Yusufu akawaagiza watumishi wake waganga wampake baba yake dawa asioze. Waganga wakampaka dawa Israeli.


Wakamzika katika makaburi yake mwenyewe, aliyojichimbia katika mji wa Daudi, wakamlaza juu ya kitanda kilichojazwa manukato, na kila namna ya machanganyiko ya hao mafundi wa dawa; wakawasha moto mkubwa sana kwa heshima yake.


Ametenda alivyoweza; ametangulia kuupaka mwili wangu marhamu kwa ajili ya maziko.


Na sabato ilipokwisha kupita, Mariamu Magdalene na Mariamu mamaye Yakobo, na Salome walinunua manukato wapate kwenda kumpaka.


Wakarudi, wakatayarisha manukato na marhamu. Na siku ya sabato walistarehe kama ilivyoamriwa.


Basi Yesu alisema, Mwache aiweke kwa siku ya maziko yangu.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo