Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Yohana 12:7 - Swahili Revised Union Version

7 Basi Yesu alisema, Mwache aiweke kwa siku ya maziko yangu.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

7 Lakini Yesu akasema, “Msimsumbue huyu mama! Mwacheni ayaweke kwa ajili ya siku ya mazishi yangu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

7 Lakini Yesu akasema, “Msimsumbue huyu mama! Mwacheni ayaweke kwa ajili ya siku ya mazishi yangu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

7 Lakini Yesu akasema, “Msimsumbue huyu mama! Mwacheni ayaweke kwa ajili ya siku ya mazishi yangu.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

7 Isa akasema, “Mwacheni. Aliyanunua manukato hayo ili ayaweke kwa ajili ya siku ya maziko yangu.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

7 Isa akasema, “Mwacheni. Aliyanunua manukato hayo ili ayaweke kwa ajili ya siku ya maziko yangu.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

7 Basi Yesu alisema, Mwache aiweke kwa siku ya maziko yangu.

Tazama sura Nakili




Yohana 12:7
9 Marejeleo ya Msalaba  

Maana atasimama mkono wa kulia wa mhitaji Amwokoe kutoka kwa wanaoihukumu nafsi yake.


BWANA akamwambia Shetani, BWANA na akukemee Ewe Shetani; naam, BWANA, aliyechagua Yerusalemu, na akukemee; je, Hiki si kinga kilichotolewa motoni?


Yesu akatambua akawaambia, Mbona mnamtaabisha mwanamke? Maana ni kazi njema aliyonitendea mimi.


Maana kwa kunimwagia mwili wangu marhamu hiyo, ametenda hivyo ili kuniweka tayari kwa maziko yangu.


Yesu akasema, Mwacheni; mbona mnamsumbua? Amenitendea kazi njema;


Na tazama, akatoka mtu mmoja, jina lake Yusufu, ambaye ni mtu wa baraza, mtu mwema, mwenye haki;


Tufuate:

Matangazo


Matangazo