Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Mathayo 26:11 - Swahili Revised Union Version

Kwa maana siku zote mnao maskini pamoja nanyi; lakini mimi hamko nami siku zote.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Maskini mnao daima pamoja nanyi, lakini mimi sitakuwapo pamoja nanyi daima.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Maskini mnao daima pamoja nanyi, lakini mimi sitakuwapo pamoja nanyi daima.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Maskini mnao daima pamoja nanyi, lakini mimi sitakuwapo pamoja nanyi daima.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Maskini mtakuwa nao siku zote, lakini mimi hamtakuwa nami siku zote.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Maskini mtakuwa nao siku zote, lakini mimi hamtakuwa nami siku zote.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Kwa maana siku zote mnao maskini pamoja nanyi; lakini mimi hamko nami siku zote.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Mathayo 26:11
16 Marejeleo ya Msalaba  

Kwa kuwa walipo wawili watatu wamekusanyika kwa jina langu, nami nipo papo hapo katikati yao.


Yesu akatambua akawaambia, Mbona mnamtaabisha mwanamke? Maana ni kazi njema aliyonitendea mimi.


na kuwafundisha kuyashika yote niliyowaamuru ninyi; na tazama, mimi nipo pamoja nanyi siku zote, hata ukamilifu wa dahari.


maana sikuzote mnao maskini pamoja nanyi, na kila mpendapo mwaweza kuwatendea mema; lakini mimi hamko nami sikuzote.


Kwa maana maskini mnao sikuzote pamoja nanyi; bali mimi hamko nami sikuzote.


Enyi watoto wadogo, bado kitambo kidogo nipo pamoja nanyi; mtanitafuta; na kama vile nilivyowaambia Wayahudi ya kwamba, Mimi niendako ninyi hamwezi kuja; kadhalika sasa nawaambia ninyi.


Bado kitambo kidogo na ulimwengu haunioni tena; bali ninyi mnaniona. Na kwa sababu mimi ni hai, ninyi nanyi mtakuwa hai.


Nilitoka kwa Baba, nami nimekuja hapa ulimwenguni; tena nauacha ulimwengu; na kwenda kwa Baba.


Lakini sasa mimi naenda zangu kwake yeye aliyenituma, wala hakuna mmoja wenu aniulizaye, Unakwenda wapi?


Wala mimi simo tena ulimwenguni, lakini hawa wamo ulimwenguni, nami naja kwako. Baba mtakatifu, kwa jina lako ulilonipa uwalinde hawa, ili wawe na umoja kama sisi tulivyo.


ambaye ilimpasa kupokewa mbinguni hata zije zamani za kufanywa upya vitu vyote, zilizonenwa na Mungu kwa kinywa cha manabii wake watakatifu tokea mwanzo wa ulimwengu.


ila neno moja tu walitutakia, tuwakumbuke maskini; nami neno lilo hilo nilikuwa na bidii kulifanya.


Kwa maana maskini hawatakoma katika nchi milele; ndipo ninakuamuru na kukuambia, Mfumbulie kwa kweli mkono wako nduguyo, mhitaji wako, maskini wako, katika nchi yako.


Lakini mtu akiwa na riziki ya dunia, kisha akamwona ndugu yake ni mhitaji, akamzuilia huruma zake, je! Upendo wa Mungu wakaaje ndani yake huyo?