Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Mathayo 22:35 - Swahili Revised Union Version

Mmoja wao, mwanasheria, akamwuliza, akimjaribu;

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Mmoja wao, mwanasheria, akamwuliza Yesu kwa kumjaribu,

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Mmoja wao, mwanasheria, akamwuliza Yesu kwa kumjaribu,

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Mmoja wao, mwanasheria, akamwuliza Yesu kwa kumjaribu,

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Mmoja wao, mtaalamu wa Torati, akamuuliza swali ili kumjaribu, akisema,

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Mmoja wao, mtaalamu wa Torati, akamuuliza swali ili kumjaribu, akisema,

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Mmoja wao, mwanasheria, akamwuliza, akimjaribu;

Tazama sura
Tafsiri zingine



Mathayo 22:35
10 Marejeleo ya Msalaba  

Lakini Yesu akaufahamu uovu wao, akasema, Mbona mnanijaribu, enyi wanafiki?


Mwalimu, katika torati ni amri ipi iliyo kuu?


Basi Mafarisayo wakamwendea, wakamwuliza, Je! Ni halali mtu kumwacha mkewe? Huku wakimjaribu.


Ole wenu, enyi wanasheria, kwa kuwa mmeuondoa ufunguo wa maarifa; wenyewe hamkuingia, na wale waliokuwa wakiingia mmewazuia.


Yesu akajibu, akawaambia wanasheria na Mafarisayo, Je! Ni halali kuponya siku ya sabato, ama sivyo?


Lakini, Mafarisayo na wanasheria walilipinga shauri la Mungu juu yao, kwa kuwa hawakubatizwa naye.


Nao wakasema neno hilo wakimjaribu, ili wapate sababu ya kumshitaki. Lakini Yesu akainama, akaandika kwa kidole chake katika ardhi.


Jaribu uwezavyo kumsaidia Zena, yule mwanasheria, na Apolo, ili wakiwa safarini wasipungukiwe na chochote.