Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Luka 14:3 - Swahili Revised Union Version

3 Yesu akajibu, akawaambia wanasheria na Mafarisayo, Je! Ni halali kuponya siku ya sabato, ama sivyo?

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

3 Yesu akawauliza waalimu wa sheria na Mafarisayo, “Je, ni halali au la kumponya mtu siku ya Sabato?”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

3 Yesu akawauliza waalimu wa sheria na Mafarisayo, “Je, ni halali au la kumponya mtu siku ya Sabato?”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

3 Yesu akawauliza waalimu wa sheria na Mafarisayo, “Je, ni halali au la kumponya mtu siku ya Sabato?”

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

3 Isa akawauliza wale Mafarisayo na walimu wa Torati, “Je, ni halali kuponya watu siku ya Sabato au la?”

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

3 Isa akawauliza wale Mafarisayo na walimu wa Torati, “Je, ni halali kuponya watu siku ya Sabato au la?”

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

3 Yesu akajibu, akawaambia wanasheria na Mafarisayo, Je! Ni halali kuponya siku ya sabato, ama sivyo?

Tazama sura Nakili




Luka 14:3
10 Marejeleo ya Msalaba  

Na tazama, yumo mtu mwenye mkono umepooza; wakamwuliza, wakisema, Ni halali kuponya watu siku ya sabato? Ili wapate kumshitaki.


Na Mafarisayo walipoona, walimwambia, Tazama! Wanafunzi wako wanafanya jambo ambalo si halali kulifanya siku ya sabato.


Mmoja wao, mwanasheria, akamwuliza, akimjaribu;


Akawauliza, Ni halali siku ya sabato kutenda mema, au kutenda mabaya? Kuponya roho au kuiua? Wakanyamaza.


Na tazama, mbele yake palikuwa na mtu mwenye ugonjwa wa safura.


Wao wakanyamaza. Akamshika, akamponya, akamruhusu aende zake.


Ndipo Yesu akawaambia, Nawauliza ninyi, Je! Ni halali siku ya sabato kutenda mema, au kutenda mabaya; kuponya roho au kuangamiza?


Basi ikiwa mtu hupashwa tohara siku ya sabato, ili Torati ya Musa isije ikavunjika, mbona mnanikasirikia mimi kwa sababu nilimfanya mtu kuwa mzima kabisa siku ya sabato?


Tufuate:

Matangazo


Matangazo