Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Mathayo 22:36 - Swahili Revised Union Version

36 Mwalimu, katika torati ni amri ipi iliyo kuu?

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

36 “Mwalimu, ni amri ipi iliyo kuu katika sheria?”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

36 “Mwalimu, ni amri ipi iliyo kuu katika sheria?”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

36 “Mwalimu, ni amri ipi iliyo kuu katika sheria?”

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

36 “Mwalimu, ni amri ipi katika Torati iliyo kuu kuliko zote?”

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

36 “Mwalimu, ni amri ipi katika Torati iliyo kuu kuliko zote?”

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

36 Mwalimu, katika torati ni amri ipi iliyo kuu?

Tazama sura Nakili




Mathayo 22:36
8 Marejeleo ya Msalaba  

Nijapomwandikia sheria yangu katika amri makumi elfu, zimehesabiwa kuwa ni kitu kigeni.


basi asimheshimu baba yake au mama yake. Mkalitangua neno la Mungu kwa ajili ya mapokeo yenu.


Mmoja wao, mwanasheria, akamwuliza, akimjaribu;


Akamwambia, Mpende Bwana Mungu wako kwa moyo wako wote, na kwa roho yako yote, na kwa akili zako zote.


Lakini, ole wenu, Mafarisayo, kwa kuwa mwatoa zaka za mnanaa na mchicha na kila mboga, na huku mwaacha mambo ya adili, na upendo wa Mungu; iliwapasa kuyafanya hayo ya kwanza, bila kuyaacha hayo ya pili.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo